Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?

Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?

Misimamo yako itakupeleka kubaya.
Kwahiyo kumbe wanadamu tumeumbwa kwa mfano wa wanyama na tunatakiwa tufuate maisha ya wanyama??

Sasa pale mwanaume alipoambiwa na Mungu kuwa atakula kwa jasho lake sijui pafutwe tu maana tumeshakuwa wanyama sasa!!
 
Tatizo wanaume mkiambiwa ukweli na wanawake mnasema mnachukiwa ningekuwa nawachukia wanaume nisingedumu kwa miaka 20 kwenye ndoa maana sijaolewa na mwanamke mwenzangu!!
Upo macho?, mmeo hayupo Leo?

Misimamo yako ya chuki zidi ya wanaume
 
Tatizo wanaume mkiambiwa ukweli na wanawake mnasema mnachukiwa ningekuwa nawachukia wanaume nisingedumu kwa miaka 20 kwenye ndoa maana sijaolewa na mwanamke mwenzangu!!
Congrats.....20 years in marriage is not a simple game...
Tulio kwenye ndoa tunafahamu..

Ndoa zinadumu kwa vile ni agizo la kanisa kuwa kifo ndiyo kitawatenganisha ...
Otherwise kuna ndoa mtu akifanikiwa kuchomoka, harudii ng'ooooo....!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Habari za usiku huu wana JF?

Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.

Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?

Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?

Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
Wanapenda wanapokuwa wakiongea wao uwasikilizwe tuu ukae kimya,usipinge,UKIWA UNAMUELIMISHA AU KUMUELEKEZA kwamba kiko hivi hakipohivyo unavyosema wewe(ukimpinga tuu)Unataka kuwa sawa na mwanaume
Tena mwingine atakwambia WEWE MWANAMKE GANI,WEWE MWANAUME TUU,anakutolea kauli chafu na za hovyo ili kukuvunja moyo kwa kile ulichokiongea au unachokiamini kionekane hakina maana

Wanaume kubalini kuchangia mada kwa utulivu, mwanamke anapochangia mada hataki usawa yuko kwenye mada husika

Ni bora kuongea kujadili kuliko kuwa kimya,
 
Tatizo wanaume mkiambiwa ukweli na wanawake mnasema mnachukiwa ningekuwa nawachukia wanaume nisingedumu kwa miaka 20 kwenye ndoa maana sijaolewa na mwanamke mwenzangu!!
OK. Kumbe story za vijiweni tu but nyumbani you respond careful
 
mwanamke akinambia anataka usawa na mimi namwambia akojoe akiwa amesimama bila kuangalia chini na miguu imenyooka akiweza hapo nitamkubalia tuwe sawa
 
Ndiyo hivyo ya kwangu imedumu kwa amani kabisa ingekuwa na misukosuko ningekuwa nimeshaomba talaka muda mrefu sana
Congrats.....20 years in marriage is not a simple game...
Tulio kwenye ndoa tunafahamu..

Ndoa zinadumu kwa vile ni agizo la kanisa kuwa kifo ndiyo kitawatenganisha ...
Otherwise kuna ndoa mtu akifanikiwa kuchomoka, harudii ng'ooooo....!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Wanapenda wanapokuwa wakiongea wao uwasikilizwe tuu ukae kimya,usipinge,UKIWA UNAMUELIMISHA AU KUMUELEKEZA kwamba kiko hivi hakipohivyo unavyosema wewe(ukimpinga tuu)Unataka kuwa sawa na mwanaume
Tena mwingine atakwambia WEWE MWANAMKE GANI,WEWE MWANAUME TUU,anakutolea kauli chafu na za hovyo ili kukuvunja moyo kwa kile ulichokiongea au unachokiamini kionekane hakina maana

Wanaume kubalini kuchangia mada kwa utulivu, mwanamke anapochangia mada hataki usawa yuko kwenye mada husika

Ni bora kuongea kujadili kuliko kuwa kimya,
Ni wanaume wachache sana wanaelewa hili
 
OK. Kumbe story za vijiweni tu but nyumbani you respond careful
Ndiyo narespond 'careful' kwa sababu mume wangu hayupo kama wanaume wengi wa humu wa JF yeye anajielewa na kapata mke anayejielewa pia ila wavulana wa humu JF sijui shida yao ni nini kila kitu kuona wanawake tunataka usawa nao, pitty.
 
Mbona inawezekana sana tu??
mwanamke akinambia anataka usawa na mimi namwambia akojoe akiwa amesimama bila kuangalia chini na miguu imenyooka akiweza hapo nitamkubalia tuwe sawa
 
Hata siku moja haitakujatokea mwamke akawa sawa na mwanaume Mungu alishapanga imetosha mwanaume atakuwa kichwa na atamtawala mwanamke. Ishu hapa kila mtu afanye wajibu wake kwa kadri ya mgawanyo wamjukumu kulingana na jinsi yake bila kumnyanyasa mwingine.
 
Hata siku moja haitakujatokea mwamke akawa sawa na mwanaume Mungu alishapanga imetosha mwanaume atakuwa kichwa na atamtawala mwanamke. Ishu hapa kila mtu afanye wajibu wake kwa kadri ya mgawanyo wamjukumu kulingana na jinsi yake bila kumnyanyasa mwingine.
Sawa Mkuu
 
Ndiyo hivyo ya kwangu imedumu kwa amani kabisa ingekuwa na misukosuko ningekuwa nimeshaomba talaka muda mrefu sana
I think some women have to learn from you... Now days Most of the women can't withstand marriage challenges....
20 years, you have something to advice younger girls..[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Ndiyo narespond 'careful' kwa sababu mume wangu hayupo kama wanaume wengi wa humu wa JF yeye anajielewa na kapata mke anayejielewa pia ila wavulana wa humu JF sijui shida yao ni nini kila kitu kuona wanawake tunataka usawa nao, pitty.
Wachaaa weeeeee, hongera kwa kupata dume linalojielewa. Ila na mmeo unajua tunaye humu. Kama wa humu ni wavulana wasiojielewa na mmeo naye basi hajielewi.
 
Sema hao wanawake mimi siwalaumu sana kwa sababu siku hizi wanaume wengi mnawaachia wanawake mizigo ya kubeba ndoa yaani ninyi hamna muda kabisa unachepuka makusudi ukitaka mkeo akuvumilie na asipokuvumilia ndoa ikivunjika kosa linaonekana la kwake na siyo lako

Unampiga hovyo ukitaka mkeo akusamehe na asipokusamehe ndoa ikivunjika kosa linaonekana la kwake na siyo lako na mbaya zaidi ni kwamba wewe mwenyewe hauwezi kumvumilia wala kumsamehe mkeo endapo atafanya makosa hayo hayo kama ya kwako yaani msidhani kila ndoa iliyodumu imebebwa na mwanamke tu sisi wengine tumepata wanaume wanaojielewa wanaojua nini maana ya ndoa
I think some women have to learn from you... Now days Most of the women can't withstand marriage challenges....
20 years, you have something to advice younger girls..[emoji41][emoji41][emoji41]
 
First things first jua kutofautisha kati ya neno "wengi" na neno "wote" halafu urejee tena kusoma comment yangu

Last but not least mume wangu hayupo JF kwa sasa alishawahi kuwa member zamani na alijiunga tangu enzi za Jambo Forums ila alikuja kuachana nayo anasema Jamii Forums ilikuwa zamani siyo siku hizi hakuna jipya wavulana wengi kuliko wanaume na wasichana wengi kuliko wanawake hivyo katuachia sisi tulioijua JF juzi
Wachaaa weeeeee, hongera kwa kupata dume linalojielewa. Ila na mmeo unajua tunaye humu. Kama wa humu ni wavulana wasiojielewa na mmeo naye basi hajielewi.
 
First things first jua kutofautisha kati ya neno "wengi" na neno "wote" halafu urejee tena kusoma comment yangu

Last but not least mume wangu hayupo JF kwa sasa alishawahi kuwa member zamani na alijiunga tangu enzi za Jambo Forums ila alikuja kuachana nayo anasema Jamii Forums ilikuwa zamani siyo siku hizi hakuna jipya wavulana wengi kuliko wanaume na wasichana wengi kuliko wanawake hivyo katuachia sisi tulioijua JF juzi
Kumbe humu tupo na shangazi zetu. Heshima kwako Mkubwa...
 
Back
Top Bottom