MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Ngoja na mm nisubir jibu Lake hapanyumbani kwenu mnaishije?? baba ako huwa anaosha vyombo au kupiga deki???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja na mm nisubir jibu Lake hapanyumbani kwenu mnaishije?? baba ako huwa anaosha vyombo au kupiga deki???
Kwani nani kakataa? Mbona sisi hatuna shida kabisa ila je ni wanaume wote wamaostahili heshime? Najua kwa sababu ya akili zako finyu utasema ndiyo ila kaa ukijua kuwa wanaume wanaostahili heshima ni wale ambao wanajielewa na wana sifa zifuatazo waamimifu, wasikivu, wanaojali na wanatunzaNdio hamfai kabisa kuolewa ni hatari kwa afya mnachotaka kukileta ni ushindani mnataka mapinduzi mwanaume akiongea na nyie muongee
Lengo mtukalie kichwani muwe na sauti nyinyi hivi vitu huwez badilisha na kamwe hatuwezi fanana kimajukumu na kimaamuzi
Majukumu yetu yatabaki kuwa yetu hata mkiyaingilia sawa ila kamwe hatuwezi Fanya majukumu yenu na nafasi yetu itabaki palepale
Ndiyo alikuwa anafanya mara moja moja kama msaada tu sana sana kama mama anaumwa lakini pia baba ndo alikuwa anahudumia familia nzima yaani anamhudumia mama pamoja na sisi watoto ila mama alikuwa anahudumia familia mara moja moja kumsaidia baba anapokwama tunyumbani kwenu mnaishije?? baba ako huwa anaosha vyombo au kupiga deki???
nikisema baba ako ni bwege anaosha vyombo,nitakuwa nasema urongo???Ndiyo alikuwa anafanya mara moja moja kama msaada tu sana sana kama mama anaumwa lakini pia baba ndo alikuwa anahudumia familia nzima yaani anamhudumia mama pamoja na sisi watoto ila mama alikuwa anahudumia familia mara moja moja kumsaidia baba anapokwama tu
Halafu mwanaume akifanya majukumu ya mwanamke ni bwege ila mwanamke akifanya majukumu ya mwanaume ni nani? Mbona umemshangaa baba kufanya majukumu ya mama lakini haujamshangaa mama kufanya majukumu ya baba?nikisema baba ako ni bwege anaosha vyombo,nitakuwa nasema urongo???
baba ako kuosha vyombo, kukuna nazi,kupiga deki na kufagia uwanja wewe unaona sawa???Halafu mwanaume akifanya majukumu ya mwanamke ni bwege ila mwanamke akifanya majukumu ya mwanaume ni nani? Mbona umemshangaa baba kufanya majukumu ya mama lakini haujamshangaa mama kufanya majukumu ya baba?
And that's where their hypocrisy lies how can you demand equal rights and escape equal responsibilities?Kitu pekee nnachojua Most Women demand equal rights and not equal Responsibilties
the funniest comment everNi kweli, kwa sababu wanawake tumewazidi akili ila wanaume mmetuzidi nguvu.
Daah... wanaume tunapitia changamoto nyingi sana mkuu.Utakapoingia maeneo ya kazi utajifunza kitu my dear. Wanawake wachache sana huwa kweli wamafikia hata 75% ya utendaji wa majukumu ya kazi bila msaada huko maofisini.
Pili, wanawake wanavyanzo vingi sana vya kupata pesa sababu wanadhamana ya miili yao katika utafutaji wa pesa. Ndo maaan hata hizi interviews siku hizi ni changamoto sana kwa mtoto wa kiume kupita.
Mwanamke anaweza pata msaada wa kifedha toka kwa baba, mama, kaka, dada, mjomba, bosi, marafiki, workmates na kadhalika ila trust me mwanaume nje ya kipato chake vyanzo vya kupata pesa ni vichache sana...... Na yeye hutoa zaidi.
Kwa kusema hivyo nataka kukujuza kuwa wanaume wanatafuta kwa jasho sana na kwasasa hali ni ngumu inazidi kuwabana wao zaidi kuliko wanawake.
Sasa huyu mtu ambaye anatakiwa kukaa chini kubuni vyanzo vipya vya mapato daily unataka tena akae na kuwaza vyombo havijaoshwa, sijafua nguo, usafi wa nyumba, sijakuna nazi, sijapika.
Aaaaaaah hebu kuwa serious kidogo..... Nadhani upo kinadharia zaidi.
Kimsingi wanaume wanaoa lengo kuu likiwa ni kupata usaidizi wa 100% wa majukumu ya kazi za ndani na mtu wa kumliwaza. Hiyo ya kutafuta pesa ni kiherehere chenu tu maana sidhani mwanaume anae jitambua atakaa kukushurutisha utafute kazi eti ulipie bili zote za nyumba ili hali yeye analala na kuamka na kukunja nne akitizama egoli kwenye tv. Hapo utakuwa umetunga uhalisia na si ukweli wa maisha halisi.....
So kama vipi naomba tuzungumze mambo practical katika jamii yetu na si maigizo.
Ni sawa ila mimi naona kama mara nyingi wanawake ndo tunaweza kufanya majukumu yote ambayo yapo ndani ya uwezo wetu ila wanaume kuna baadhi ya majukumu hawawezi kufanya hata kama yapo ndani ya uwezo wao eti kwa sababu tu kwenye jamii yamezoeleka kuwa ni majukumu ya kike na inaonekana ni aibu kwa mwanaume kuyafanya hii imekaaje?
Je kama mama anaumwa na baba akaamua kumsaidia? Ndo maana nikakuuliza kwahiyo mama kumsaidia baba majukumu yake ndo siyo kitu cha ajabu? Mbona haujajibu swali?baba ako kuosha vyombo, kukuna nazi,kupiga deki na kufagia uwanja wewe unaona sawa???
Umeongea mengi sana ila haujagusia hata kidogo swala la mwanaume kumsaidia mkewe kufanya kazi za nyumbani yaani umeongelea tu mwanamke kumsaidia mumewe kutafuta pesa na umekwepa kitu ambacho ni hoja ya msingi sanaNdio wanawake wa leo hii mnapenda sana usawa wa kijinsia japo hamuwezi kuishi maisha ya usawa wa kijinsia hata kidogo.
Kwanza wengi wenu hamuujui hata huo usawa wa kijinsia uko vipi, nini kinaleta huo usawa wa kijinsia na athari au faida zake ni zipi. Wengi wenu mmejawa na double standard aidha kwa kujua au kutokujua kwenye hilo hitaji lenu la usawa wa kijinsia.
Unakuta mwanamke anatafuta mwanaume na kigezo chake cha kwanza ni kwamba mwanaume lazima awe na mshaara/kipato kikubwa kuliko yeye. Hapo hapo mwanamke huyo anajinasibu na yeye anataka usawa na wakati ukiangalia kusudio la yeye kuhitaji mwanaume mwenye nguvu kubwa ya kiuchumi kuliko yeye ni kuona mwanaume huyo anabeba sehemu kubwa ya majukumu hasa yanayohusiana na fedha Wakati huo yeye akichangia kidogo tu ndani ya mahusiano. Mpaka hapa tayari anakuwa ameshajitoa kwenye usawa bila kujua.
Kuna wanawake hasa wakikristu hususani waliosoma wameamua kushi maisha ya kuzitumikia career zao na kuweka kando majukumu ya kike ndani ya ndoa zao. Ila sasa cha ajabu likitokea tatizo lolote zito hao hao wanawake utaskia wakisema "mimi kazi yangu ni kuzaa kwa uchungu tu mengine hayanihusu". halafu hao hao wanawake hawataki uwaingilie kwenye maamuzi yao.
Wanawake wa leo hii wanataka kuoneka wako sawa na mwanaume kwenye kila kitu ilihali bado wanaona fahari kutolewa mahari kubwa wanapoolewa.
Wanawake wa leo hii wanataka usawa mpaka kwenye usaliti. Mume akichepuka na yeye anaona njia pekee ya kutatua tatizo ni kuchepuka pasipo kujali kuwa maumbile yake yamekaa kuingiza tofauti na ya mwanaume yaliokaa kutoa, hivyo hata athari kubwa iko upande wake.
Wanawake wa Leo hii wanataka kuwa na sauti/maamuzi sawa na mwanaume ilihali hata wakiskia kishindo cha mtu usiku nje ya nyumba hawana ujasiri hata wa kufungua dirisha kuchungulia kuna nini nje.
Wanawake wanataka kuwa na maslahi sawa na wanaume wakati huo impact yao kwenye mambo mbali mbali ya kijamii ni ndogo sana kulinganisha na ya wanaume na hii ni duniani kote...
Kuna siku nilikuwa namsikliza mwanajeshi mmoja wa kike wa Marekani analalamika eti kuwa wanajeshi wa kiume wanalipwa bonus kubwa kulinganisha na wao... anasahau kwamba hao wanajeshi wa kiume hawana mambo ya martenity leave na pia ndio wanaokuwa posted kwenye terror zones Mara kwa Mara.
Mwaka Jana nilimskia captain wa timu ya taifa ya wanawake ya USA Alex Morgan akikiomba chama cha soka cha marekani kiwaoboreshee maslahi yao kisa tu eti wao wamekuwa wakifanya vizuri kuliko timu ya wanaume kwa miaka ya karibuni.
Hivi Karibuni nilimskia katibu mkuu wa Fifa Fatma Samoura akilalamika eti zawadi na posho wanazopata washindi wa kombe la dunia la wanawake ni ndogo kulinganisha na zile wanazopata washindi wa kombe la dunia la wanaume... anasahau kwamba idadi ya viewers na wadhamini wanaojitokeza kwenye kombe la wanaume inaizidi kwa mbali sana ile inayojitokeza kwenye kombe la wanawake na ndio inayoleta tofauti ya kimaslahi.
Wanawake makazini wanapenda kupata promotion sababu tu wamefanya kazi mahali hapo muda mrefu na sio kwa sbabu ya jambo kubwa waliolifanya, na wakati huo wao ndio huwa hawishiwi kuwa na dharura za Mara kwa Mara.
kihalisia wanawake wanataka EQUITY na sio EQUALITY.
USAWA WA KWELI KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE UTAKUJA KUTOKEA SIKU MWANAMKE AKIWEZA KUKOJOA KWENYE CHUPA HUKU AKIWA AMESIMAMA.
We don't escape responsibilities but it has reached to a point where men want women to perform more responsibilities than themAnd that's where their hypocrisy lies how can you demand equal rights and escape equal responsibilities?
Wewe ndo unataka kuanza? Mbona kuna wanaume wenzio walishaanza kitambo?Daah... wanaume tunapitia changamoto nyingi sana mkuu.
Ndio maana mimi sasa hivi nakaribia kuanza kuwachukulia wanaume kama wanawake na wanawake kama wanaume.
I am about to start treating women like men and vice versa.
Mbona wanawake tunafanya majukumu yanayoonekana ni ya kiume kwenye jamii?Unajua we dada hujielewi, sasa kama hayo majukumu yanaonekana ni ya kike kwenye jamii, kwann wanaume wayafanye..half inaonekana una hasira sana na wanaume Edelyn
hakika hata wewe hujanielewa..Umeongea mengi sana ila haujagusia hata kidogo swala la mwanaume kumsaidia mkewe kufanya kazi za nyumbani yaani umeongelea tu mwanamke kumsaidia mumewe kutafuta pesa na umekwepa kitu ambacho ni hoja ya msingi sana
Na pengine ndo sababu kubwa ya wanawake wengi kuwa hivi walivyo leo hamuwezi kukubali ila huo ndiyo ukweli na kwa vile hakuna ambaye hayuko tayari kuukubali ukweli na kubadilika basi tuache tu utabiri utimie maana hakuna binadamu mwenye uwezo wa kuuzuia
please put more elaboration on this, more responsibilities in which sense actually?We don't escape responsibilities but it has reached to a point where men want women to perform more responsibilities than them