my statements are still in logical table.
Suala la ulinzi wala hata sio jukumu la kibailojia, ni jikumu ambalo jinsia yoyote anafanya vizuri kabisa. Ndio maana siku hizi mnakuwa mpaka mageneral wa jeshi, ukienda kwenye jeshi la marekani hadi vitengo vigumu kama navy seal kuna wanawake wapo.
Hii inatuonyesha kuwa tofauti zetu za kibailojia hazikufanyi wewe ushindwe kuwa mlinzi wa familia.
Naona wewe ndio unaingiza masuala ya kuzaa kitu ambacho ni irrelevant kabisa hapa.
Nakuuliza tena, kuosha vyombo, kupiga deki n.k mimi niko tayari, je wewe uko tayari kuniokoa kwenye hatari yoyote ile hasa dhidi ya maadui wenye silaha kali?
ukishindwa kujibu hili swali basi mjadala unaishia hapa, na utakuwa umekubali kuwa mwananke kamwe hawezi kuwa sawa na mwanaume.