Too late,mmeshajiingiza kwenye majukumu yasiyo wahusu kiasi kwamba mshazalisha tatizo jipya tayari la wanaume marioo..
Zamani ulikuwa huwezi kutoa mwanamke outing km huna hela sababu kwanza ilikuwa Ni aibu kutaka mwanamke alipe, siku hizi mnang'ang'ania basi na sisi tunapumzika tu na kulemaa.Mwanamke kama hela zimejaa nunua zawadi mpe,mpo busy sana kujishindanisha majukumu na wanaume SI tunawachora tu siku hizi mimba nyie,kufua nyie,kuosha vyombo nyie,uchungu nyie na kulea nyie, gharama zote nyie ila mradi mujiite strong woman na mngekuwa mnaweza na mimba mngejipa wenyewe.Tunawachora tu na harakati zenu za kijinga mwishowe wa siku SI kazi yetu kugonga nakukupa cheo za ustrong woman.
Mimi hadi leo hii siwezi kukaa na kumuomba hela mwanamke wangu wala hata kumkopa sijawahi .Nilishakataa kubehave kijinga jinga mbele ya mwanamke.