Hivi wanaume nao wana mzunguko?

Hivi wanaume nao wana mzunguko?

Maana nakuwaga na kama wiki mbli ivi libido inakuwa juu ajabu, then kama wiki moja ivi sina hamu na dem. Hivi ni kwangu tu au hata wengine? ARRRRRGH....

Alaf zile siku sina ham ndo 'opportunity' zinakuwapo kibao....
Hii huwatokea wanaume wote na ni mambo ya kawaida kuna siku unakuwa na hamu unahisi hata mwanamke mmoja hatoshi lol!,na kuna siku ukipata kimoja tu kinatosha.
 
ola como es tas ?

Unahitaji kikombe aisee,,,

Ola nikuwambie joto linapunguza hamu aiseee,,,
 
hahaaaaaaaaaaaa hakuna hiyo kitu mzee
Maana nakuwaga na kama wiki mbli ivi libido inakuwa juu ajabu, then kama wiki moja ivi sina hamu na dem. Hivi ni kwangu tu au hata wengine? ARRRRRGH....

Alaf zile siku sina ham ndo 'opportunity' zinakuwapo kibao....
 
kwa kweli kila mwanaume nahisi huwa inamtokea
hiyo hali ya kuwa huna shida sana na wanawake na wao wakawa wanakujia kwa nguvu....

i mean unapokuwa single ni ngumu kupata mwanamke....
but ukishapata mmoja,wengine wanakuwa easy

mimi nliwahi pata tatizo lilonifanya nisiweze ku sex kwa wiki nzima...
ndani ya hiyo wiki nzima,zaidi ya wanawake 6 walikuwa
wananitafuta kwa nguvu..,wengine ni ex gfs,wengine wapya kabisa...

tatizo lilipoisha,sikuwaona.as if walikuwa wanajua,but walikuwa hawajui...its funny...

Wiki ilikuwa nyingi?? hivi kumbe watu wanasex mara ngapi kwa mwezi? duh isijekuwa napunjwa
 
Back
Top Bottom