vita tayari ipo.... hawa wadada wasio na wenza wanavyoiba wame za watu... kuna sredi moja yajieleza wazi hapa .. nashangaa hawa wachangiaji wana act hawajakusoma.... vita ipo.....
Huwa nawaza kama wanaume tukiamua kuishi na mke mmoja tu no kuchapa nje, na wale wasiooa anachapa mmoja na huyo ndiye anayemuoa, si kutatokea vita jamani? Naomba maoni yenu wana jamii.
sensa ya tanzania inaonyesha wanawake wamewazidi wanaume kwa milioni kama 4 sasa hicho kitu hakiwezekani hao wengine watatoka na nani jamani tuwaonee huruma wenzetu inabidi uchukue wako sita na mwenzio wa3 maisha yanaenda
Huwa nawaza kama wanaume tukiamua kuishi na mke mmoja tu no kuchapa nje, na wale wasiooa anachapa mmoja na huyo ndiye anayemuoa, si kutatokea vita jamani? Naomba maoni yenu wana jamii.
Mmm!mi sina chakuchangia,ila ukweli unabaki palepale hamna mwanaume mwenye mwanamke mmoja,ukubali ,ukatae.
sina uhakika saana na hili ila nadhani kama sikosei kwa sababu ya wanaume kuogopa ukimwi na kua na mpenzi mmoja tu huko botswana kuna majimama yanatumia hata bunduki kuwabaka vijana..! so nadhani sio kwamba ingetokea vita..! ni kwamba vita ipo tayari ila ingezidi sana na mwanaume angeonekana ni kitu cha thamani kama nini vile sijui..! yani daah mwana tungekua na vallue kweli sio kama siku hizi yani wanatudrive crazy kinyama hawa dada zetu..!
Think out of the Box men! Mbona mashoga yanapigania haki zao husemi, we umeona wanawake tu kwamba ndo watapata shida!! Mila zenu za kunyanyapaa wanawake ni za kwenu bana.....
Tatizo liko wapi? Kwanini uwe na mke mmoja na vimada msururu? Wengi wenu mtajifanya hamjui kuwa tatizo lipo kwenye mafundisho yanayokataza kuwa na mke zaidi ya mmoja. Solution ipo na mnaijuwa, mnajifanya hamuoni, wala hamsikii? Au ni kweli hamuoni, hamsikii na mabubu?
Hivi nani anajua idadi ya watawa (nuns) hapa Tz? Nahisi hawapungui 1m
Huwa nawaza kama wanaume tukiamua kuishi na mke mmoja tu no kuchapa nje, na wale wasiooa anachapa mmoja na huyo ndiye anayemuoa, si kutatokea vita jamani? Naomba maoni yenu wana jamii.
Hakuna vita kabisa kwani kumbuka kuna makasisi wasiooa, dini nyingine zinaruhusu mke zaidi ya mmoja, masista wa dini kama RC hawaolewi. Pia wote tungekuwa na elimu bora ya uzazi tungeweza ku-balance sex yaani mfano kila familia inazaa watoto wa kiume na wakike kwa idadi sawa na familia zote kuwa na idadi sawa ya watoto.
Wanawake ni wengi kwa sababu watu wana-copulate tu bila kutumia akili na mpangilio!!
Tatizo liko wapi? Kwanini uwe na mke mmoja na vimada msururu? Wengi wenu mtajifanya hamjui kuwa tatizo lipo kwenye mafundisho yanayokataza kuwa na mke zaidi ya mmoja. Solution ipo na mnaijuwa, mnajifanya hamuoni, wala hamsikii? Au ni kweli hamuoni, hamsikii na mabubu?