Hivi wanaume wengine mnawezaje hivi vitu Mimi binafsi siwezi na sitaweza kamwe

Siku vyuma vikikaza utaambiwa una michepuko unayoitoa out,ogopa mazoea halafu yakakatika utapata taabu sana katoka kwa hawa viumbe

kwa upande wangu nina CHUMA kimoja KIKALI sanaaa,,,,, yaan kuna muda unatamani akusindikize hata dukani... ilimradi ULINGISHE tu...

kuhusu vyuma kukaza.. sizani kama atanisumbua maana yeye ndio anapenda kunitoa OUT.. mie siku moja moja sana maana sipendi Kutoka OUT..
 
Uwiii bora yote yasifanyike ila kibao ni kosa kubwaaaaaaa ambalo utakuwa umelifanya katika maisha yangu,na itabidi nichukue kwanza diary ninote tukio hilo ili liwe katika historia ya maisha yangu nikimaliza nianze kukupa dozi
 
Kabla sijakuuliza umri wako..... Naomba nijue kama unamke...???
 
Yah. Nilipitiwa kuiandika.

Iko sahihi sababu bila watoto kuwaambia hivyo waeza shangaaa kila siku watoto wanaombea baba afe ili warithi mali badala ya kutafuta za kwao.
hakika
 
Haya makubaliano ndo yanaleta matatizo mbeleni na ukichunguza kwa undani wa migogoro ya ndoa chanzo kimojawapo ni kuvurugika haya makubaliano na sasa kila mmoja ni mbabe kwenye ndoa

Hapa ndo utasikia kila mmoja anajipikia yaani mwanamke anapika chakula chake kisha na mwanaume anapika chakula chake,ogopa hii kitu
 
Ukiona kuna mgogoro jua hakukuwa na makubaliano, au mmoja wapo kaamua kuvunja makubaliano.
 
siamini kam mwanamke ni wa shughuli zote hizo dunia imebadilika kijana
 
Mkuu mimi ni.mkolon ila wee ni mkoloni sugu.

Mwanamke anahitaji kubembelezwa kisha utaona yalomazur anayafanya. Yalomabaya anayaacha.

Usipompenda mkeo kamwe usikae ukategemea yeye akufanyie unayopenda .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…