kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
mwanamke unatakiwa unasalimia mumeo na kupiga goti hio ndio heshima, wanawake wa cku hizi mnajifanya ngangari ndio maana mnapata taabu sana kwenye ndoaYaani nitoke kazini saa 4 usiku nimechoka nifike nikupikie utalala na njaa.
Niamke nipige magoti nikusalimie?? Umekua baba yangu mzazi.
Yaani utakaemuoa ana kazi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndoa sio gereza Mkuu