Hivi wanaume wengine mnawezaje hivi vitu Mimi binafsi siwezi na sitaweza kamwe

Na ni marufuku kula chakula mwenyewe yaaaani akila tu na mm nasusa mzigo wiki hata 2
 
Kwa wanawake wa dunia ya leo sijui kama watakuweza..!
 
Mnaoolewa na wafalme mna kazi sana aiseee mnakuwa watumwa hiyo ya kupiga goti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwezi kupangiana zamu na mme ya kupika au usafi akijisikia kukusaidia akussaidie
Mkeo atapata tabu sana
Unajua mume ni mfalme ktk ndoa so anastahili kupewa heshima zote za kifalme,ndo mana ktk dini yetu ya kiislamu mtume alisema "lau kwamba angeambiwa na mwenyez Mungu awaamrishe kiumbe kimsujudie kiumbe mwenzake basi angearisha mke msujudie mumewe.

Sitaki kutoka nje ya mada napenda kukuunga mkono hoja ya mtoa mada,
 
Mleta mada ulichoandika hapa ni 'vakues' zako na matarajio ya mwandani wako iwapo ukijaaliwa kumpata, nami nakuombea umpate. Katika maisha yetu ya kila siku wanaume na wanawake pamoja na mambo mengine tunajengwa na tunaishi kwa kuendeshwa na 'values' na matarajio yetu binafsi. 'Values's maana yake ni misingi ya maadili tunayoona kwamba ni muhimu sana kwetu sisi binafsi, hii inatokana na malezi yetu, imani, makabila, makuzi elimu na vingi vinavyotuzunguka, kwa lugha rahisi ni kwamba kila mmoja wetu ana vitu anavyoona kwamba kwake yeye vitu hivyo vya msingi (Values) ni muhimu na hakuna mjadala. Vinatofautiana hapa na pale lakini kila mtu anavyo - vitu hivyo tunaviona ni muhimu sana (kwetu) na tunatamani kila mwenzetu mwingine awe/afanye au afuate misingi hiyo (Vaules) kama tunavyotaka sisi. tunasahau kwamba sio kila unachokiona wewe ni muhimu na mwingine atakiona muhimu.

Mnapoingia kwenye mahusiano au ndoa ni muhimu kutafuta mtu ambaye mtakuwa mna values zinazofanana ili msipishane sana. Umewahi kusikia mtu akisema kwamba ' I like him/her because we share the same values' , maana yake ni kwamba mnaendana kwenye misingi muhimu ya kimaadili - na katika hali kama hii hakuna atakayemshangaa mwingine. Pia umewahi kuona unajaribu 'kumbadilisha mtu' awe unavyotaka wewe lakini lakini unashindwa? Ni kwasababu vaules zako na zake ni tofauti na values huwa hazibadilishiki hata ufanyeje. Umewahi kuona watu wamekutana kwa muda mfupi tu lakini wanaelewana sana - wame click kabisa, kumbe values zao zinaendana kabisa!

Mfano kuna watu wanaume/wanawake wanaamini katika kutoa mimba lakini wengine hawaamini kabisa - hata amebakwa atakuambia lazima azae hawezi kutoa mimba - hii matokeo ya misingi ya kimaadili/imani aliyolelewa nayo.

Mfano kuna wanaume wanaamini kwamba mwanamke anapaswa akae nyumbani apike/aangalie nyumba na kulea watoto lakini wengine wanaona fahari mwaname wake kufanya kazi/shughuli ya kipato - yote haya ni matokeo ya malezi/imani nk (values)
Mifano ni mingi

Umeshawahi kuona watu/wapenzi wanapendana kweli kweli lakini kila mara aidha wanaachana tena kwa hasira, na muda tu wanarudiana na hawaishi kugombana tena na tena, ukichunguza utakuta kwamba kuna mapenzi lakini kati yao lakini pia kuna tatizo la misingi ya kimaadili iliyotokana na malezi au makuzi (Values),

Mleta mada kuna baadhi ya watu watakushangaa kwabasababu wako kinyume na 'values' zako lakini wengine ambao wanaona sawa utakuta values zao zinaendana nawe.

Kila la heri.
 
Umesahau ile unaongea mwnamke anakupita pita hataki kukusikiliza

Na mkigombana umekaa zako kmya yeye anaendelea kufoka kama koka

Kama unaskiaga kuua bila kukusudia anifanyie huu wehu
 
Uzungu unawala wanaume wa ki africa sasa.ndio maana wanawake wamekuwa wanawapanda kichwani wanaume.
Mke wangu atamiliki jiko na kaz zote kuhusu usalama na usafi wa nyumba.Mm niulizwe mahitaji yote ya familia ila sio swaga za kizungu
 
Unadhani hayo hatuyafanyi baba tunayafanya kiroho safi lakini tu ndo na wewe unihudumie vizuri km malkia na unikaze nitosheke vinginevyo ntakufanyia kinyume ya hayo yote na ungenyooka fala wewe
 
Halafu na yote hayo unakuta huna pesa, wewe ni wale wanaume wa 50/50 kila kitu uchangie na mkeo. Ufalme huo hakikisha hapo ndani hadi sindano unanunua wewe.
 
Hapa unaongea tu Mkuu
Yani huyu hajawah kuta watu hasa wanawake wakichukia na mara nyingi hapa had mwanaume anapigwa hilo kofi sababu huwaga ni usaliti mi huwa hasira zinapanda sana naonaga angalau nikimtwisha kofi napata nafuu
 
Et nin?
 
Umeongea point tupu ila hawa mabinti waliozaliwa baada ya kuingia multpartism wanaona unawabana
 
daaaahh" wewe utakuwa ni mjamaa tu " sio bure"...
 
Mimi siku akinitukana au kunifokea nitamcharaza na faru atajuta kuishi na mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…