Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Aaaah.Ni pale fire makutano ya barabara ya msimbazi,morogoro road na swahili street na nyingne upanga kule umenipata?
Kenya Football Club.Kfc ni wapi?
Acha hizoKenya Football Club.
Kumbe ww nawe ni aina ya watu anawaoongelea mtoa mada! Haya ngoja nikuachie msala na mtoa madaAaaah.
Ni hawa jamaa nilienda nikaahiza chicken wings wanaimiminia sweet onion sauce na yellow mustard sauce nikashindwa kuila.
Kudadeki zao
Pole sana, ukusikia vijana wanakwambia wanapiga show, ndio kama hivyo.asante kwa ushauri ...maana nilikuwa nateseka sana.
Wengi ni wauza sura wanalala nyumbani kwao hata godoro hawana
Hahahaa! Kwema lakini Mkuu? Tunachangamsha tu mkuu,take it easy.Acha hizo
Hahaaa! Umejuaje mkuu?Wengi ni wauza sura wanalala nyumbani kwao hata godoro hawana
Sasa mkuu, mtu kulala nyumbani kwake kuna kosa gani? Ulitaka wakalale guest au wapi?Wengi ni wauza sura wanalala nyumbani kwao hata godoro hawana
NtakupelekaKfc ni wapi?
Kijijini hakuna kfcNtakupeleka
hahahahahaha dadeki wallaahina mara nyingi wanabakisha ki-chips kimoja
Nipo nanjilinji.. hivi hizo KFC zina ma gate!!??kumbe...duh mie nilikuwaga nashangaa sana mbona nikitoka tuu getini njaa inabana tena.
πππππSiku nyingine kula nyumbani kwanza kabla hujaenda pale. Utaona tofauti kubwa, utakula taratibu na kwa starehe sana.
Nipo nanjilinji.. hivi hizo KFC zina ma gate!!??