Hivi wanawake wanataka nini ili kutulia?

Hivi wanawake wanataka nini ili kutulia?

McFerson

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,166
Reaction score
2,322
Wasalamu wanajamvi

Kadada kamoja ka mtaani kwetu,sikukashobokea tangu kamekuwa hapa mtaani. Kameolewa ndoa ya kanisani mkoa jirani miezi minne iliyopita,mume anafedha na anakapenda sana.
Sasa mwezi uliopita kakanitafuta kanaomba ushauri wa shida fulan inayohusiana na ujuzi wangu nikakaelekeza. Kukawa na mawasiliano ya kawaida.
Wiki hii kamenitafuta kanasema kanahisia kali za kimapenzi juu yangu,nikashangaa mno. Ndani ya mshangao kanaanza kunitumia picha za shepu lake kalivyo siku hizi.
Niko na ndoa na hilo kanalijua,nimekazidi miaka kumi na nane, nawaza hivi nikikanyandua na ikajulikana si itakuwa fedheha ya mwaka🤔
Sasa nilitaka kujua kwenu ke,hivi huwa mnataka kitu gan ili mtulie kwenye ndoa zenu?
 
Wasalamu wanajamvi

Kadada kamoja ka mtaani kwetu,sikukashobokea tangu kamekuwa hapa mtaani. Kameolewa ndoa ya kanisani mkoa jirani miezi minne iliyopita,mume anafedha na anakapenda sana.
Sasa mwezi uliopita kakanitafuta kanaomba ushauri wa shida fulan inayohusiana na ujuzi wangu nikakaelekeza. Kukawa na mawasiliano ya kawaida.
Wiki hii kamenitafuta kanasema kanahisia kali za kimapenzi juu yangu,nikashangaa mno. Ndani ya mshangao kanaanza kunitumia picha za shepu lake kalivyo siku hizi.
Niko na ndoa na hilo kanalijua,nimekazidi miaka kumi na nane, nawaza hivi nikikanyandua na ikajulikana si itakuwa fedheha ya mwaka[emoji848]
Sasa nilitaka kujua kwenu ke,hivi huwa mnataka kitu gan ili mtulie kwenye ndoa zenu?
Wanataka vyote
 
Wasalamu wanajamvi

Kadada kamoja ka mtaani kwetu,sikukashobokea tangu kamekuwa hapa mtaani. Kameolewa ndoa ya kanisani mkoa jirani miezi minne iliyopita,mume anafedha na anakapenda sana.
Sasa mwezi uliopita kakanitafuta kanaomba ushauri wa shida fulan inayohusiana na ujuzi wangu nikakaelekeza. Kukawa na mawasiliano ya kawaida.
Wiki hii kamenitafuta kanasema kanahisia kali za kimapenzi juu yangu,nikashangaa mno. Ndani ya mshangao kanaanza kunitumia picha za shepu lake kalivyo siku hizi.
Niko na ndoa na hilo kanalijua,nimekazidi miaka kumi na nane, nawaza hivi nikikanyandua na ikajulikana si itakuwa fedheha ya mwaka[emoji848]
Sasa nilitaka kujua kwenu ke,hivi huwa mnataka kitu gan ili mtulie kwenye ndoa zenu?
Mbona wewe unakua wa hovyo kiasi hicho, hako kabint kandogo kameweza je kuvuta attention yako, hayo matokeo ni mengi kwa wanawake hapa kazini na mitaani ila hatuyawandiki hapo, kwasbb mwanaumme kamiri unauwezo wa kupuuzia hisia za mwanamke yoyote awe mdogo au mkubwa ndo jinsi walivyo umbwa. Huo ni udhafu wao wa kkmsumbile, hamna haja ya kushangaa hata wakwako huenda ana moja anae mshobokea tena anaweza kua kijana wa boda boda
 
Mkuu kwenye uzi wako andika 'hivi haka ka Malaya kanataka nini katulie kwenye ndoa yake' usitamke Wanawake wanataka nini. Unakuwa unamaanisha ni wote kitu ambacho nadhani si kweli
 
Wasalamu wanajamvi

Kadada kamoja ka mtaani kwetu,sikukashobokea tangu kamekuwa hapa mtaani. Kameolewa ndoa ya kanisani mkoa jirani miezi minne iliyopita,mume anafedha na anakapenda sana.
Sasa mwezi uliopita kakanitafuta kanaomba ushauri wa shida fulan inayohusiana na ujuzi wangu nikakaelekeza. Kukawa na mawasiliano ya kawaida.
Wiki hii kamenitafuta kanasema kanahisia kali za kimapenzi juu yangu,nikashangaa mno. Ndani ya mshangao kanaanza kunitumia picha za shepu lake kalivyo siku hizi.
Niko na ndoa na hilo kanalijua,nimekazidi miaka kumi na nane, nawaza hivi nikikanyandua na ikajulikana si itakuwa fedheha ya mwaka🤔
Sasa nilitaka kujua kwenu ke,hivi huwa mnataka kitu gan ili mtulie kwenye ndoa zenu?
Wanataka usichokua nacho
 
Wasalamu wanajamvi

Kadada kamoja ka mtaani kwetu,sikukashobokea tangu kamekuwa hapa mtaani. Kameolewa ndoa ya kanisani mkoa jirani miezi minne iliyopita,mume anafedha na anakapenda sana.
Sasa mwezi uliopita kakanitafuta kanaomba ushauri wa shida fulan inayohusiana na ujuzi wangu nikakaelekeza. Kukawa na mawasiliano ya kawaida.
Wiki hii kamenitafuta kanasema kanahisia kali za kimapenzi juu yangu,nikashangaa mno. Ndani ya mshangao kanaanza kunitumia picha za shepu lake kalivyo siku hizi.
Niko na ndoa na hilo kanalijua,nimekazidi miaka kumi na nane, nawaza hivi nikikanyandua na ikajulikana si itakuwa fedheha ya mwaka🤔
Sasa nilitaka kujua kwenu ke,hivi huwa mnataka kitu gan ili mtulie kwenye ndoa zenu?
Kamuulize
 
Jisimamie, Kama huna Nia nae achana nae, usije ukamkanda ukanogewa mkuu🤣
 
Hakuna yoyote au chochote utamfanyia mtu kwenye mapenzi au ndoa akaridhika zaidi ya kushi nae kwa wema na kuachana kwa wema.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom