Upo single au umeolewa?Sina boyfriend
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo single au umeolewa?Sina boyfriend
Am not single 😅😅😅Upo single au umeolewa?
Jaman mkiambiwa watu wenye pikipiki wanafaidi muwe mnaelewaSasa kwa nie tunavaaga nguo za mitego kama hiyo hapo chini....View attachment 2366748
Umenikunikumbusha kuna mwanamke fulani jina lake limenitoka wakati anahojiwa na mtangazaji akaulizwa upo kwenye mahusiano huyo dada akamjibu sipo na wala sijawahi kuwa kwenye mahusiano mtangazaji akazidi kumuuliza inamaana wewe ni bikra bidada akakazia wewe jua tu sijawahi kuwa kwenye mahusiano na sipo kwenye mahusiano.Kwasisi tuliosomea cuba tulimwelewa bidada ila mtangazaji kashindwa kuelewaAm not single 😅😅😅
Nilie nae anavyo hivyo nilivyotaja
Ha haa kwahiyo wewe umenielewaje?Umenikunikumbusha kuna mwanamke fulani jina lake limenitoka wakati anahojiwa na mtangazaji akaulizwa upo kwenye mahusiano huyo dada akamjibu sipo na wala sijawahi kuwa kwenye mahusiano mtangazaji akazidi kumuuliza inamaana wewe ni bikra bidada akakazia wewe jua tu sijawahi kuwa kwenye mahusiano na sipo kwenye mahusiano.Kwasisi tuliosomea cuba tulimwelewa bidada ila mtangazaji kashindwa kuelewa
akikukaribia vizuri ukisikia kaharufu kazuri ndo unaanza kutamani😂Anayenukia vzr mara nyingi hata mavazi yake yanakuwa ya kuvutia, ngoja niongeze kwenye list😀
Makalio???Tunatamani lakini sisi tunavitu vyetu. Mfano mavazi, rangi ya mtu, nywele, makalio[emoji1751]
Ko sisi tunatamaniana cc kwa cc na nimarachache sana tunatamani mwanaume.
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwani wewe unavutiwa na nini kwa mwanaume?akikukaribia vizuri ukisikia kaharufu kazuri ndo unaanza kutamani😂
Kuna wanaume wanajua kunukia vzr yaani...manukato yanakuvuta tuuuuakikukaribia vizuri ukisikia kaharufu kazuri ndo unaanza kutamani😂
Ndio mtuhhurumie sie wanaume mitego mingi lazima hela ziliwe tuu.
Nyie sii pesa tuu...maana kwanza mnanusa jamaa mwenyewe mihela from a mile awayTunavutiwa na vitu tofauti
Sasa sie wenye allergy ya perfume tunafanyajeKuna wanaume wanajua kunukia vzr yaani...manukato yanakuvuta tuuuu
Mtapata wa kufanana naoSasa sie wenye allergy ya perfume tunafanyaje
😂😂😂Ndio mtuhhurumie sie wanaume mitego mingi lazima hela ziliwe tuu.
Ebu tuambiane perfumw gani tununue jamani...maana dah hizi za kina armani dollar 200 hatuweziMwanaume anaenukia.
😁😁😁Tunatamani vicoba tu
Wanuka vikwapa🤣🤣🤣🤣Mtapata wa kufanana nao
Ha haaa mi sijuiWanuka vikwapa🤣🤣🤣🤣
Mimi hata sielewi kwakweli 🤣😂🤣ngoja nijaribu kukumbuka🤣🤣🤣🤣🤣 Kwani wewe unavutiwa na nini kwa mwanaume?