Hivi wanawake wenzangu wa JF mmeshaandika kuhusu Tanzania tuitakayo kwenye Stories of Change?

 
Mshindi wa kwanza kabisa wa story of change alikuwa Mwanamke @Abbriana
 
Una hela ya ziada ama wategemea hiyo zawadi tu
 
Mtumeeee.....mie ni huu mdomo tu, ila ukinipa niandike chochote, nakuwa bubu.
Yaani we acha tu.
Hizo vitu zina wenyewe mwaya🤭🤭🤭
Jirikodi basi halafu uandike uliyokuwa unayasema🤣🤣🤣
 
Mtumeeee.....mie ni huu mdomo tu, ila ukinipa niandike chochote, nakuwa bubu.
Yaani we acha tu.
Hizo vitu zina wenyewe mwaya🤭🤭🤭
Unarekodi kwenye sauti, halafu unahamishia kwenye maneno.... simple kabisaaa
 
Mimi wananiboa wanaokuja inbox kuomba kura. Mwaga andiko lako mtu likimgusa atakupa kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…