Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Imeandikwa wapi kula tunda ni dhambi [emoji848]Mimi ntasema babu yangu Adam alikula tunda.
Ng'ombe atasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeandikwa wapi kula tunda ni dhambi [emoji848]Mimi ntasema babu yangu Adam alikula tunda.
Ng'ombe atasemaje?
Kwahyo wakifa wanafurahia?Mkuu; Ni nani alikwambia kwamba wanateseka? Hilo ni kwa mujibu wa mtizamo wako au.. . Wenzako hatulioni hilo. Kama ni kweli unaona wanyama wanateseka tupatie kwanza namba yako (ref.No. ) katika Chama cha Kuzuia Ukatili kwa Wanyama halafu ndo tuendelee na mjadala.
Hebu elezea basi mkuu, mimi sina Quran.Inawezekana kabisa somo la ecology hukulielewa Mungu Kila kitu kakiweka katka mizan soma Quran Sura ya 55
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mzee Makamba baba yako ametoa niko kusema wazuri hawafi Mkuu. Unalisemaje kwa hilo?Viumbe hawana free will wala utashi wa kuelewa chochote...Kwanini Mungu awaingize kwenye hii dhahama?
Umeandika kitoto sana hapa,Kwanini kunguru haliwi?
Kwanini kicheche haliwi
Kwanini nungunungu haliwi
Kwanini minyoo haibanikwi na kuliwa?
Kama hujaweza kutoa ref.No. katika chama nilichotaja ina maana wewe sio mkereketwa wa madhila na ukatili yanayowapata wanyama kutokana na harakati zetu sisi wanadamu za kutaka kujiletea maendeleo. i.e. Huna ushirika/umoja na wale wanaowatetea. Kufa ni kitu cha lazima(hakuna kiumbe kilicho hai ambacho hakitaonja Umauti). Ni nani anayesababisha wanyama wakose chakula na maji na hatimaye kufa kwa njaa? Sisi binadamu tunahusika sana -Ndio tulaumiwe na sio Mungu. Ipo kanuni ya survival of the fittest. Kama kiumbe ni kidhaifu, U-Asili( Nature) hukiondoa(kifo)kwa kuwa kinashindwa mpambano.Kwahyo wakifa wanafurahia?
Wanapokosa chakula na maji na kufa kwa njaa hawateseki?
Mkuu mbona kama unajizima data
Andika tu, hili ni jukwaa huru, No one will judge you trust meLakn mm nahc.,....anyway ngoja niache nsije nkaandika tope mkanishangaaa.
Kama hujaweza kutoa ref.No. katika chama nilichotaja ina maana wewe sio mkereketwa wa madhila na ukatili yanayowapata wanyama kutokana na harakati zetu sisi wanadamu za kutaka kujiletea maendeleo. i.e. Huna ushirika/umoja na wale wanaowatetea. Kufa ni kitu cha lazima(hakuna kiumbe kilicho hai ambacho hakitaonja Umauti). Ni nani anayesababisha wanyama wakose chakula na maji na hatimaye kufa kwa njaa? Sisi binadamu tunahusika sana -Ndio tulaumiwe na sio Mungu. Ipo kanuni ya survival of the fittest. Kama kiumbe ni kidhaifu, U-Asili( Nature) hukiondoa(kifo)kwa kuwa kinashindwa mpambano.
Kwanini hizo changamoto ziwepo? Ni furaha ya Mungu kuona Viumbe alioumba wanateseka?Adi uandike hivyo we binadamu una raha gani!? Navyoelewa mimi kila kiumbe chenye pumzi duniani kinapitia kwenye changamoto zake.
Wewe mkuu unaishi maisha yako kwa machale mda wote ukiangalia kulia na kushoto kama hakuna simba anayekuvizia??Kwa taarifa yako, hakuna viumbe wana raha hii dunia kama wanyama.
Kwanza they live their lives to the fullest bila stress.
Pili responsibility kubwa waliyonayo ni kutafuta chakula na kulea watoto ama familia kama wanayo, majukumu ya baba na mama yako very clear.
Tatu wanyama wengi wana life span fupi ambayo inawafanya wasiteseke sana hapa duniani.
Mwisho, usitake kumpangia Mungu namna ya kuuendesha ulimwengu wake, hivyo vitu vyote unavyoviona alitupa sisi wanadamu tuvitumie tupendavyo. Hivyo acha kujitesa na mawazo mfu.
Ahaa...kwahyo ilishindikana Chui na Swala wasile vitu tofauti mkuu? ili kuepusha mateso Wanayopata kuwindana?Chui asipokula atakufa, Kazi ya chui ni kuwapunguza swala wabalance ecology
Ilipangwa hivyo hivyo ni viumbe vya kuliwaAhaa...kwahyo ilishindikana Chui na Swala wasile vitu tofauti mkuu? ili kuepusha mateso Wanayopata kuwindana?
Hiyo ecology haina njia nyingine ya kuibalance mpaka wauane?
Si Mungu angeweza tu kuweka limit katika kuzaana kwao automatically
Ahaa sasa kwanini aliviunba ili viteseke??Ilipangwa hivyo hivyo ni viumbe vya kuliwa