Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
alaaahKinachoungwa na nazi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alaaahKinachoungwa na nazi mkuu
Inaonekana mrembo we ni mdau sana wa diko letu pendwa “PU..RE”Kinachoungwa na nazi mkuu
Ndio mkuu Mwanamke mapishiInaonekana mrembo we ni mdau sana wa diko letu pendwa “PU..RE”
Nimekupenda bure yani😍 naomba offer unipikie siku 1Ndio mkuu Mwanamke mapishi
❤️Nimekupenda bure yani😍
Naomba offer unipikie jamani siku 1 😍
Ishaalah usijali mkuuNaomba offer unipikie jamani siku 1 😍
Jamani dear Cariha huwa unachemsha kidogo hayaivi au mbona hayachoshi kutafunaMimi makande sijawahi kuyaelewa yananichosha kutafuna tu bure. Wapare wanayapenda Ili ku Budget uchumi aisee
Ukipita tu jikoni unapakua kidogo kwenye kabakuli [emoji16][emoji16][emoji16]Ninachoyapendea makande ukila utosheki yaani nyumbani nikiyapika ni kula siku mbili nashinda natafuna kama mbuzi haina kupumzika
ahahaaa tehena petha avae twatonga na bajetiYaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?
Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.
Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)
Kama ulikuwepo ANKO 😀😀Ukipita tu jikoni unapakua kidogo kwenye kabakuli [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16] tuendelee kuinjoy mkuuKama ulikuwepo ANKO [emoji3][emoji3]
Kwani bebi na wewe ni mpare?Yusufuuuu atayetoka hapo 😀😀
makande au mphure au pure ndio chakula cha asili cha wapare. hiyo ndio sababu ya kwanza kukipenda sana chakula hicho. lakini pia wapare wanaoishi maeneo ya tambarare ya south pare wanalima sana mpunga, hivyo chakula kingine wanachokula ni wali.Simple mathematics
Upareni zao kuu linalokubali kushinda mazao yote ni mahindi na maharage
Then what do you expect next?
Wale wali maana mpunga unalimwa sana kwao?
Kwani wewe uyapendi? Ni watu wote wa kazkazini wanapenda makande. Isipokuwa ni majina tu. Wamasai wanajina lake. Wachagga wana jina lake wameru nao pia wanajina lake. Ni chakula cha kiangazi.