cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mimi hunichosha na hivi meno husumbua ndo staki kabisa naonaga hayana ladha na hunikumbusha shule bureJamani dear Cariha huwa unachemsha kidogo hayaivi au mbona hayachoshi kutafuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hunichosha na hivi meno husumbua ndo staki kabisa naonaga hayana ladha na hunikumbusha shule bureJamani dear Cariha huwa unachemsha kidogo hayaivi au mbona hayachoshi kutafuna
Mimi hunichosha na hivi meno husumbua ndo staki kabisa naonaga hayana ladha na hunikumbusha shule bure
Yaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?
Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.
Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)
Really[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?!Itakuwa anapenda unavyojamba,ujue makabila mengine mume ukijamba mkeo anafurahi akijua mumewe umeshiba sana,hiyo inakuwa ndio kama shukrani yako kwake...
BTW makande matam jomonii ukila kwa hamu na ayapike mpishi haswa,utaenjoyy,[emoji39][emoji39]
Thubutu yako acha kufananisha kitimoto na mambo ya ajabu.....Hujui tu, kaa kimya! Yakiungwa yale kitimoto ugali au ndizi itasubiri
Tatizo ni nini jamani hadi mna enjoy vitu vya ajabu?!Nazi, yaungwe na kitunguu then kando aniwekee nyanya chungu za kukaanga tu bila nyanya wala nini au dagaa wa kukaanga...... Huwa natamani siku hio nisiwe na kazi za usiku maana nalala usingizi mtamu balaa
Now you are talking. Usisahau na ka hiliki kwa mbaali.Mimi si mpare ila makande nayapenda, kande limetiwa nazi na sukari,hatari hatari.. Halafu kuna njugu mawe imeungiwa nazi kwa sukari, kisha kuna zile ndizi zilizoiva ziungwe kwa nazi,
Hivyo vitu bimkubwa akivipika tu lazima aniambie nikamtembelee kwake aisee
[emoji39][emoji39]
[emoji39][emoji39] Mate yanimwaika mwenzio [emoji39]Now you are talking. Usisahau na ka hiliki kwa mbaali.
Yaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?
Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.
Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui😁
Mimi naweza kuwa kibogoyo zaidi yako,natafunia upande mmoja, lakini nikimuona bimkubwa kapika kande, siwezi kuwazia meno [emoji39], ama anipigie simu aniambie leo napika kande lazima 12 jioni niwe kwake... [emoji23]Mimi hunichosha na hivi meno husumbua ndo staki kabisa naonaga hayana ladha na hunikumbusha shule bure
Hahahaha kwann huwa hvNinachoyapendea makande ukila utosheki yaani nyumbani nikiyapika ni kula siku mbili nashinda natafuna kama mbuzi haina kupumzika
Hahaha bwasheee shuveeee.Yaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?
Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.
Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)
SanaMakande matamu sana.
Imekaa vzrHahaha bwasheee shuveeee.
Nitakupa Historia ya Mapande.
Kwetu kuna wasabato wengi. Siku ya Sabato inaanza ijumaa saa 12 na kuisha jumamosi jioni was 12 .
Ndani ya huo muda hawaruhusiwi kupika.
Kwa hio ijumaa wanapika Makande (mpureeeee)
kwenye chungu kikubwa ambayo yataitosha familia kwenye muda wote wa sabato.
Yaani acha kabisa = utamu.Sana
Kande + Nazi + sukari =