Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
huna mdogo wako na wa kahiba kama yako shemejiNdio nimeolewa Alhamdullah
Mtambo wa niniππππππ
πππππ nimecheka kwa sauti kubwaa, mother weweHaya kapika bibi nani..!?woiii
Nikiwa na ham ya kujamba nakula haya asbh mchana na jioni afu thivai chupiiπ€π€π
Nishakupata mshirika mwenzangu,.ππππππππππ nimecheka kwa sauti kubwaa, mother wewe
Mimi kiziwanda mkuuhuna mdogo wako na wa kahiba kama yako shemeji
Yaaniππππ umenishinda tabia akiiNishakupata mshirika mwenzangu,.πππππ
HahaaaMpare akipika wali anaweka ulinzi mkali jikoni.
Hahaha meku hawa watani zetu ni shidaaView attachment 1897048
Umkute Mshana Jr amekamata huu msosi wa Christmas...
Anajificha kwenda kulia uvunguni kwa jinsi alivyo mchoyo...
Hahaha meku hawa watani zetu ni shidaa
Vitu vyote vya ajabu au vyenye sura mbaya vinakuaga vitamu balaaTatizo ni nini jamani hadi mna enjoy vitu vya ajabu?!
Mtambo wa niniππππππ
Vitu vyote vya ajabu au vyenye sura mbaya vinakuaga vitamu balaa
Mzigua babe shughuli ya kizigua bila kande na mbuni si shughuli[emoji51]
Kumbuka mchaga akila mihogo anakufa.
ππππ Ila we jamaa
Mimi naweza kuwa kibogoyo zaidi yako,natafunia upande mmoja, lakini nikimuona bimkubwa kapika kande, siwezi kuwazia meno [emoji39], ama anipigie simu aniambie leo napika kande lazima 12 jioni niwe kwake... [emoji23]