Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
😁😁😁😁 Ila we jamaa
Umeona Menu ya upareni... hapo ni mambo ya KFC Same,,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁 Ila we jamaa
Ubwabwa wenyewe hauna gharama,,,, picha ya samaki inatosha kuwa kitoweoIle inachangiwa na umasikini pia maana uwezo wa kununua Mchele wa kutosha watu kwenye shughuli ni mdogo.
Kwa hiyo Ndiyo maana imezoeleka utwasi kwa kinamama kutwanga na kupika makande.
Nigavie Havae
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]kama mbuziNinachoyapendea makande ukila utosheki yaani nyumbani nikiyapika ni kula siku mbili nashinda natafuna kama mbuzi haina kupumzika
Una maanisha kande chakula cha kimaskiniIle inachangiwa na umasikini pia maana uwezo wa kununua Mchele wa kutosha watu kwenye shughuli ni mdogo.
Kwa hiyo Ndiyo maana imezoeleka utwasi kwa kinamama kutwanga na kupika makande.
Hii ni purre[emoji23], kande la nazi na sukari haliwi hivi lina urojo matata.
Hii ukila unaweza kulia peke yako chooni kitu kinatoka kigumu tofali
Hongera sanaNdio nimeolewa Alhamdullah
Hahahhaa nitakupa "gesi" ya ugaidi sorry ukaidi
HahahaHii ukila unaweza kulia peke yako chooni kitu kinatoka kigumu tofali
Hapa naambiwa mme wangu unakula nini
Asante mtu changuHongera sana
Una maanisha kande chakula cha kimaskini
Hili kande au makukuru?View attachment 1897048
Umkute Mshana Jr amekamata huu msosi wa Christmas...
Anajificha kwenda kulia uvunguni kwa jinsi alivyo mchoyo...
Nawe ni mtaniNinachoyapendea makande ukila utosheki yaani nyumbani nikiyapika ni kula siku mbili nashinda natafuna kama mbuzi haina kupumzika
Mtani waNawe ni mtani
I mean mpareMtani wa
Hapana sina utani nao ila I like Makande mnoI mean mpare