Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Hivi ww uliona wapi wenzio hua awafanyi hivo ungemtumia elfu 20 unamwambia njoo na kitimoto kilomoja akaja ukala weeeeh Alf ukamsugua hadi ute ukate ukimaliza hapo unamwambia pesa utamtumia kesho jion aende nyumbani ndo imetoka hyo
Hiyo kazi Mkuu
 
Sorry Mkuu,alimpa buku 10 au m10?
 
Ujo sahihi kabisa,mimi huwa najiuliza wana kama hawa wanakua na moyo gani wa kumvumilia kiumbe mwenye kero kama huyo.

Kwanza mimi demu asie na interests na mimi sithubutu hata kumsemesha,kwa kifupi sifanyi wala siwazagi kabisaaa namna yoyote ya kumuweka karibu mwanamke. Ni mpaka pale atakapovutiwa yeye na mimi ndio nitamzagamua tena free.

Nyege zikietawala maisha yako utaishi kwa tabu sana,hawa viumbe watakupelekesha wawezavyo. Jamaa ajifunze namna ya kiwachukulia poa.
 
Dah we jamaa unatoa hela zote ivo alaf hukuli papuchi mbona unakua mzembe ivo lakini, binafsi mm siwez kutoa hela ivo alaf cjala papuchi na kuna time madem huwa nawapa hela ya nauli tu alaf inakua imeisha ivo apo atabak kukutafuta wewe sas
 
Dah we jamaa unatoa hela zote ivo alaf hukuli papuchi mbona unakua mzembe ivo lakini, binafsi mm siwez kutoa hela ivo alaf cjala papuchi na kuna time madem huwa nawapa hela ya nauli tu alaf inakua imeisha ivo apo atabak kukutafuta wewe sas
Kuna muda unakuwa na pesa alafu hujui pakuzielekeza ukisema ujenge haitoshi ununue ardhi haitoshi ila pesa unayo sasa pesa kama hiyi lazima uongd
 
Dah kweli nyege ni za hovyo
 
Nenda kwa mganga mwambie hivi ageuze mambo yeye ndio awe anakuhonga nakukupa mbususu mchune hadi ufungue duka basi mchezo kwisha
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…