Basi pokea simu yake msikilize anasemaje na wewe usipanic relaxed akishamaliza ndipo uchomokee jambo lakoMkuu kazi hana biashara hana mkopo unarud vp kaniomba akasukie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi pokea simu yake msikilize anasemaje na wewe usipanic relaxed akishamaliza ndipo uchomokee jambo lakoMkuu kazi hana biashara hana mkopo unarud vp kaniomba akasukie
Bila shaka tushaliundia tume…Wakaliangalie ndio, mana naumia hela yangu kuliwa kirahis hv
SaSa,unataka nn mkuu,nitumie 50 bas nikuunganishe na dada yanguNooo hapana
Kula lazima kabla ya kucheza kete yeyote ile nyingine.wanaume mafala kumbe bado wapo hvi hujagi kwenye vikao vya wanaume mbona ajenda zinasomwaga na zinaeleweka. kawaida ikiliwa na ww lazma ule kama drafti vile
Shida yangu ni nini sasa?Dah we ujue umeshanishinda.
Dawa yake ndogo tu, kuna single maza mmoja alinigeuza mimi kama babake, baada ya kuona anataka hela tu, tayari kashakula 50, gheto anakwepa.. nikajisemea hela yangu haiendi bure, alipojaa kwenye tageti,alijuta kuzaliwa... hataki hata kuniskia.........Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.
Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.
Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.
Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!
Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
Isije jamii ikaniona katili kumbe nimechokozwa
Acha kutishia hapa kama unaweza kumvunja miguu si ungemvunja huko huko?Bora kwenda jela ili uwe mfano kwa wengine unakulaje hela ya mwanaume na unajua huna cha kumlipa huyu nimemsamehe sana kumvunja miguu
Safi sana mkuuTatizo lako ulitoa mshahara kabla ya kazi kufanyika,punguza kijipendekeza sana unashusha thamani yako.
@Beesmom unanifurahisha sana sema hizi mbinu ni nzuri sana nazichukuaMuulize,umechukia bado mpenz? Akijibu endelea kumpa maneno matamu then mwambie unatamani umwone japo kidogo tu kumbe unataka umwone Mpaka uchi
Hii ni busara sana mkuu. Be blessed.Hiyo hela si ajabu hujawahi hata kusaidia ndugu zako,jithamini kwanza kisha na wengine ndio watakuthamini,hata kama una shida ya jambo usiwe mnyonge kivile.
🤣🤣🤣@Beesmom unanifurahisha sana sema hizi mbinu ni nzuri sana nazichukua
Ndio maana hatuendeleiHuwa sivushi 50k..hiyo ni hela ya kuhonga..kabla hajaliwa..ikifika hapo hajaliwa natemana na hiyo project labda ajilete mwenyewe kwa gharama zangu.
Kuhonga demu raha sana..mana kwanza unafeel hadhi ya kiume..pili mademu wengi huwa hawachomoi kama ukianza na miamala.
#MaendeleoHayanaChama
Ulimfanya n n au ulipaka mko ngoDawa yake ndogo tu, kuna single maza mmoja alinigeuza mimi kama babake, baada ya kuona anataka hela tu, tayari kashakula 50, gheto anakwepa.. nikajisemea hela yangu haiendi bure, alipojaa kwenye tageti,alijuta kuzaliwa... hataki hata kuniskia.........
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app