Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi tena mwana kwaya?😳 mzabzab unaniangusha brother
Hapana aiseee.. Labda kama hela unafuata getho..!! Yaani nikupe maneno matamu kwenye simu ukiwa kwenu, na hela nitume kwa muamala kwamba imethibitishwa Kelsea kapokea hela kiasi fulani..!! Halafu na mbususu niihangaikie..!!Naomba hela na maneno matamu
Labda alipokuona kwa mbali alihisi huna hela, lakini alipokukaribia karibu ndo akathibitisha kwamba apeche alolo..!!Kivipi tena mwana kwaya?
Huyo alishakamatika na andunje mwenye mihela...siku hizi ananiona mie boya tuu
🤣Labda liapokuna kwa mbali alihisi huna hela, lakini alipokukaribia karibu ndo akathibitisha kwamba apeche alolo..!!
Hata kama tumeumbwa mateso, si ya kiasi hicho..🤣
Ah wee hawa wacha tutafute hela wataisoma nambaLabda liapokuna kwa mbali alihisi huna hela, lakini alipokukaribia karibu ndo akathibitisha kwamba apeche alolo..!!
Yaani tunatafuta hela halafu unazimwaga kitandani, kisha unampigia video call halafu unajifanya huna time na hela..!!Ah wee hawa wacha tutafute hela wataisoma namba
Bora usababishe muamala tu kimya kimya, maneno matamu bila hela ni makeleleHata kama tumeumbwa mateso, si ya kiasi hicho..
Muamala utaufuata gethoBora usababishe muamala tu kimya kimya, maneno matamu bila hela ni makelele
Khaaa 😂Muamala utaufuata getho
Ukizipata nishtueAh wee hawa wacha tutafute hela wataisoma namba
Mwanawane hawa wala huna shida ya video call....wao wananusa mwanaume mwenye mihela kilomita 100. Wanajigonga gonga wenyewe tuuYaani tunatafuta hela halafu unazimwaga kitandani, kisha unampigia video call halafu unajifanya huna time na hela..!!
Sahau hilo nikizipata na jf sionekanni tena🤣🤣🤣🤣🤣Ukizipata nishtue
kabla ya kumpa ungesema kuwa ni pesa ya utelezi. kama uliona soo kusema hivyo ungeenda kwa wanaouza rasmi.Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.
Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.
Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.
Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!
Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
CCMwanawane hawa wala huna shida ya video call....wao wananusa mwanaume mwenye mihela kilomita 100. Wanajigonga gonga wenyewe tuu
😂😂 Wapi wewee kamata hela kwanza tukujueSahau hilo nikizipata na jf sionekanni tena🤣🤣🤣🤣🤣