Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Hapana aiseee.. Labda kama hela unafuata getho..!! Yaani nikupe maneno matamu kwenye simu ukiwa kwenu, na hela nitume kwa muamala kwamba imethibitishwa Kelsea kapokea hela kiasi fulani..!! Halafu na mbususu niihangaikie..!!
🤣
 
Yaani tunatafuta hela halafu unazimwaga kitandani, kisha unampigia video call halafu unajifanya huna time na hela..!!
Mwanawane hawa wala huna shida ya video call....wao wananusa mwanaume mwenye mihela kilomita 100. Wanajigonga gonga wenyewe tuu
 
Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.

Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.

Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.

Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!

Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
kabla ya kumpa ungesema kuwa ni pesa ya utelezi. kama uliona soo kusema hivyo ungeenda kwa wanaouza rasmi.
 
Back
Top Bottom