Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.

Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.

Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.

Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!

Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
Umetuma ka-laki na bado unauliza chenchi, kwenye Maisha kubali mapenzi kwa asilimia kubwa ni hela usiwalaumu wanawake Bali blame game
 
Unamdanganya.
Kuna wanawaje wameamua kuwa matapwli...sio wote lakini 80% matapeli kwa njia ya hako katundu.

Mkianza kuwasiliana tu haja hujamtamkia kumtaka tayari kila dakika mara vocha, sijui kusuka, kodi sijui mama mgonjwa, gas nk.
Hee yaani hawanaga aibu wala hawajui timing.

Ukiona dalili hizo kabla hata ya uhusiano lichunie tu.
Mwanamke ambaye hajakukubali lazima akupige vizinga vya kufa mtu
 
Bora kwenda jela ili uwe mfano kwa wengine unakulaje hela ya mwanaume na unajua huna cha kumlipa huyu nimemsamehe sana kumvunja miguu
Alafu inaonekana wewe ni mgeni kwenye mapenzi vitu vya kawaida kwa malegend
 
Mweee....huwapati ng'ooo labda hayo maneno yaambatane na muamala🤣🤣🤣🤣
Uzuri wa hawa warembo ukiwa na hela ata kama ni andunje wanakukubalia tuuu au nasema uwongo Kelsea? 🤣🤣🤣
Mimi sijui 😎
 
Me mwanamke akili 50k tu nikimpanga akileta story sijui namuona malayaa ndo imeisha hiyoo...!! Akitaka helaa aje kuifataaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna single maza nilimchana akanunaa baada ya week ananitafuta eti kakwama elfu 20 nkamwambia mimi mbona nikikwama hujali ila wew ukikwama unataka mimi nikasaidie..!! Alijitumisha msg weee mpaka akachokaa...
 
Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.

Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.

Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.

Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!

Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
Bila shaka huyo atakuwa kalynda
 
Watu mna hela za kuchezea khaaa yani unatoaje hela kiasi hicho?? Mwezi mzima hamjaonana hujaomba hata date? Doo okay.
 
Back
Top Bottom