Hivi wapo marafiki wazuri JF zaidi ya huyu niliyempata mimi?

Hivi wapo marafiki wazuri JF zaidi ya huyu niliyempata mimi?

Really?? I didn't notice, am I out of my senses?? Do you mean she is not a good person?? Hell No!!! Will have to talk to you
 
Sitaki rafiki JF nilishapata mmoja humu kufumba kufumbua kumbe nikicheche wamtaani kwetu duh nilichoka

Wamtaani ndio hawahawa wajf so ukishindwa kula chakula kwenye mwanga sidhani kama utaweza kula chakula hichohicho kwenye giza. JF nigizani kwenye mwanga nihuko ulipo.

Siku ukilizwa usiukane uzi wako
 
Sitaki rafiki JF nilishapata mmoja humu kufumba kufumbua kumbe nikicheche wamtaani kwetu duh nilichoka

Wamtaani ndio hawahawa wajf so ukishindwa kula chakula kwenye mwanga sidhani kama utaweza kula chakula hichohicho kwenye giza. JF nigizani kwenye mwanga nihuko ulipo.

Siku ukilizwa usiukane uzi wako
That was because you were not careful aisee. Mimi nakupa ushuhuda hapa
 
Back
Top Bottom