Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
- #121
Tunakumiss humu babaakeHamna hata mbaya...majukumu tu aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakumiss humu babaakeHamna hata mbaya...majukumu tu aisee
Mzaeee maswali chonganishi hayoAisee umepata rafiki mzuri...ila ndio ukaka na dada au sio
Utakua rafiki mzuri?
Yes but u have someone else whos driving u crazy [emoji23][emoji23]You have me, don't You??
we ni mwema kwa umpendaeKwan ww unaniona mm sio raia mwema?!
we ni mwema kwa umpendae
Wivu huoInaelekea hukuwahi kuwa na marafiki tokea umezaliwa au huyu msichana utakuwa unamyaka kimapenzi lkn unashindwa kumwambia huu ni uzi zaidi ya wa pili unasifia urafiki na mwanamke huyohuyo
Kipi tenaaaaaaa???Tatizo icho kizungu hapo kati kimenichanganya
Wivu huo
Ahsanteeeee. Naanza kukupenda bureeeeWivu huo
Icho cha kati hapoKipi tenaaaaaaa???
Kunipenda Mimi?Ahsanteeeee. Naanza kukupenda bureeee
YeahHaha
Ahahahhahaa! Kama humuamini hivi
Ohhh! Basi ntakufafanulia. Nifafanue hapa hapa au Private??Icho cha kati hapo
Ohoooo!!!Kunipenda Mimi?
That was because you were not careful aisee. Mimi nakupa ushuhuda hapaSitaki rafiki JF nilishapata mmoja humu kufumba kufumbua kumbe nikicheche wamtaani kwetu duh nilichoka
Wamtaani ndio hawahawa wajf so ukishindwa kula chakula kwenye mwanga sidhani kama utaweza kula chakula hichohicho kwenye giza. JF nigizani kwenye mwanga nihuko ulipo.
Siku ukilizwa usiukane uzi wako