He he cheka tu babe uzidi kunenepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaah nmecheka had mbavu znauma lol.
Kinachonishangaza wao ikipigwa nyimbo ya mondi ikiisha ni kuanza kusifu na kuabudu tu na mapambio juu kumuhusu mondi......
Weledi ni kitu muhimu sana kwenye izi kazi....
Anaemuelewa dida anijuze anamuelewaje mie nimeshindwa kabisa kumuelewa naona ni mpiga makelele tu.....
ili iweje sasaNdo raha ya kuwa na CHAKO.
dawa yao ndogo tu msisikilize redio yao
Wewe unawaona watu wa hovyo lakini mtaani kwa wateja hao ndio favorite.Hakuna aliekataa basi unaiga hata kwa marehemu ruge kuibua vipaji vya watangazaji kuliko kujaza watu wa ovyo....
Wasafi wanafanya biashara awawezi kupeleka vipindi hewani kufurahisha watu kama wewe wakaacha kundi kubwa ambalo ndio wateja wao royal.Yes ni habari ya mjini, but inatokana na wanaosikiliza wanataka nn hasa. Wapo watu wanakaa pembeni ya radio ili mradi tu anaisikiliza. But in reality, kwa msikilizaji makini wa radio angependa sana kusikiliza content na pia kumsikiliza mtangazaji anayejua anachokiongea.
Though, hatutaki Wasafi itangaze kama Rtd, lakini tungetamani kuona mtiririko mzuri wa maongezi baina ya wafanyakazi, mada nzuri (japo hizo hizo za kijingajinga lakini zipangike basi), pia watangazaji waachie zamu ya kuongea na kuacha kubishana studio as if wanatangaza vituo tofauti.
Lakini kingine muhimu kupunguza kumsifia sana Diamond. Mimi sidhani kama hicho kituo kilianzishwa kama sehemu ya propaganda ya Diamond, ila kilianzishwa kwa ajili ya wasikilizaji. Then yanatoka wapi mambo ya kumfagilia tu Diamond mwanzo mwisho, kama siyo ushamba flani uliochanganyika na upimbi na ulimbukeni.
Watu mbona tupo nao mtaani wala hawaipendiWewe unawaona watu wa hovyo lakini mtaani kwa wateja hao ndio favorite.
Diamond ana msemo wake '' wape watu kitu wanachotaka".
Then wasikilize radio zingine kama wana ubavu, radio station zipo nyingi wanasikilizaje wasiyoipenda.Watu mbona tupo nao mtaani wala hawaipendi
Jane Lowassa hayo mambo ya ovyo unayosema ndio inayowafanya wapendwe na wewe uandike Uzi kabisa hiv kwanini ujiulizi Tbc 1 ina watangazaji walioenda shule lakini haina watazamaji wengi na wasikilizaji wachache?Watu mbona tupo nao mtaani wala hawaipendi
EA rADIO itabaki kuwa my best station till tomorrow.
Kipindi cha michezo ndio kinanibamba, basi
Manina walahi πRadio ya familia akitoka kuhojiwa mama dangote na shamte kesho yake esma na msizwa
ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntakufa mie uwiiiih