Hivi Wasafi FM hamna program manager?


Wasukuma wanasema PUT YOUR MOUTH WERE .............

malizia
 
Tuchape kazi maendeleo hayana chama.. unamsema baba levo
 
Hakuna aliekataa basi unaiga hata kwa marehemu ruge kuibua vipaji vya watangazaji kuliko kujaza watu wa ovyo....
Wewe unawaona watu wa hovyo lakini mtaani kwa wateja hao ndio favorite.

Diamond ana msemo wake '' wape watu kitu wanachotaka".
 
Wasafi wanafanya biashara awawezi kupeleka vipindi hewani kufurahisha watu kama wewe wakaacha kundi kubwa ambalo ndio wateja wao royal.

Hivyo vipindi unavyoona havieleweki kuna watu ndio ugonjwa wao wanavipenda ile mbaya.

Hao watangazaji unaoona wa hovyo wanapendwa kuliko watangazaji unaowaona wewe wa maana.

Kikubwa ni pesa kama kitu kinapendwa na kinaleta pesa basi hicho ndio chenyewe.
 
Mi sinaga muda wa kusikiliza radio aisee, yaani ratiba zangu ziko tofauti sana. TV yenyewe naangalia weekend alfajiri tu au football games jioni. Kitu ninachoshukuru ni hii teknolojia ya simu za mkononi, la sivyo sijui ningekwendaje na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…