Hivi wasandawe na wahadzabe wametengewa sehemu yao maalumu?

Mkuu
Namnukuu RC Manyara
Kuhusu Sensa 2022 Ameomba Special Fund Ili Nyama Ipatikane
Waweze Kuhesabiwa Bila Shaka Kuna Maeneo Yao Maalum
Hee, wanategwa kama chui kwa kutumia nyama! Hii miaka yote baada ya Uhuru CCM haitaki kura zao!
 
Vipi wanawake zao..tunaomba experience.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna utofaut kata ya hao hadzabe ,sandawe na hawa wanaojiita wasonjo na wamang'ati?
 
That was a God's point of man's creation. Ujuaji wetu tukisaidiwa na dark powers ndio kinachotufanya binadamu tuwe mbali na mwenye enzi (God)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…