babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Saa Ngapi wakati hawana bando 24/7Ngoja waje wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa Ngapi wakati hawana bando 24/7Ngoja waje wenyewe
Ni kizulu completeHavifanani
Ndiyo, wametengewa mapori na misitu ya huko kwaoEti wandugu, jamii ya watu hawa wana eneo maalumu la kuishi wametengewa?
Hee, wanategwa kama chui kwa kutumia nyama! Hii miaka yote baada ya Uhuru CCM haitaki kura zao!Mkuu
Namnukuu RC Manyara
Kuhusu Sensa 2022 Ameomba Special Fund Ili Nyama Ipatikane
Waweze Kuhesabiwa Bila Shaka Kuna Maeneo Yao Maalum
Hapana kwa sababu hawa viumbe hawaaminiki na ndiyo maana serikali imewaachia vichaka vyote hapa Tanzania kuwa sehemu yao ya kuishi.Eti wandugu, jamii ya watu hawa wana eneo maalumu la kuishi wametengewa?
Hivi hii lugha yao inaweza kwenda kweny maandish kwel?
Clicking languageHivi hii lugha yao inaweza kwenda kweny maandish kwel?
Nazani inawezekanaHivi hii lugha yao inaweza kwenda kweny maandish kwel?
Sidhan kama kama kuna doc yyte yenye lugha yao ya maandishNazani inawezekana
Inaandikika mkuu?Clicking language
Hizo kgi, n'dha 😂😆🤣Inaandikika mkuu?
Hahah!mambo ya nukta nundu hayoHizo kgi, n'dha 😂😆🤣
That was a God's point of man's creation. Ujuaji wetu tukisaidiwa na dark powers ndio kinachotufanya binadamu tuwe mbali na mwenye enzi (God)Wahadzabe wanaishi kwenye mapori ya akiba wale wanaruhusiwa had kuvuta bangi wala hawakamatwi maana hawatumii hospital za serekali wala shule, kwanza hawajuagi hata wako nchi gan had waambiwe wala hawajui habar za mawaziri au Marais, hawajawahi kuomba maji wala barabara na umeme hata kiswahili hawajui kabisa wala hawajawahi kuomba msaada wa chakula/mavazi, wanaenda kuvuna asali huku wanafukuza nyuki kama nzi wengne wanawatembelea kwenye mwili inasemekana wanakula aina nyingi sana za wanyama wao wanakula had nyani kwanza nyan akimuoma mu hadzabe anatoka nduki mwenyewe ni sehem ya vivutio sana wale jamaa hawana stress kabsa muda wote wana furaha hawajui internet wala hajui smartphone, hawana nyumba za kifahari wala magari ila wako na furaha tu.
Huyu hata mswaki haujui na sidhani kama anaoga
IqiyanahNimeona kabila langu linazungumziwa nipo nikaja resi I'm proud to be a @sandawe sandawe