Hivi wasandawe na wahadzabe wametengewa sehemu yao maalumu?

Umenikumbusha yale ya ndege. Hawavuni wala hawakusanyi chakula ghalani bali Mungu wa mbinguni huwalisha.
 
nayeye akanunua soda akanywa akatupa tunywe aiseh tulitamani kukimbia!
Basi km kwa Mwafrica mwenzako!! umetamani kumkimbia! ananuka, anakutisha! Mzungu je? ivo!! ivo ulivoona ndo Muhindi au Muarabu ana tuchukulia!! km nyie wenyewe mnajibagua na kuoneana kinyaa! basi jueni wao ni zaidi ila basi tu!

Wazungu ni mara! mia zaidi msiwalaumu! km wanavowaua kina George floyd wa USA! Ni kuwaonea kinyaa kibaya! wasije wakawachafua na mimate yao! na yule muuaji mzungu usidhani kafungwa ki viile! no!! anakula Bata kinoma!! kwani uliona anajuta yule!

Ubaguzi ulianzia kwetu sisi weusi ndo ukasamabaa kote duniani!!!! wabaguzi wabaya sana! Mzungu akaona isiwe taabu km wao kwa wao hawapendani why me! na yeye kaamua kuyaendeleza hayo yenu! leo mnamlaumu oooh! mbaguzi!! wewe je?

kifupi msiwalaumu wazungu wa watu! kwa vitendo vyao! dhidi ya mtu mweusi!! kwa sababu ya ubaguzi km huu! ndo maana Babu zenu nyie mlio baki Africa waliwauza kwa bei ya pombe!
 
Asante kwa ushauri ila tuliichukua tukainywa tukambakishia na yeye amalizie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…