Hivi wasanii wa hip hop wana magari?

Hivi wasanii wa hip hop wana magari?

Lyamber
Haya ni yana ukweli au umeandika tu?
 
Last edited by a moderator:
Hujielewi mleta mada. Magari sio kipimo cha maendeleo
 
Kaka mambo ya kuzingua hayana gender, sisi ni wanaume ndo maana wanaotuzingua always wanakuwa wanawake, kama kweli tuko sahihi kwa mikasa inayotokea kila siku. Lakini ukae ukijua kuna wanaume wengi sana wanawazingua wanawake kwa njia tofauti tu.
Hapa swala hapa, ni kufikiri wanawake in general ni wachovu au hawaoni mbali zaidi ya umbea na majungu ni uongo, kwani kwenye jamii kuna wanawake wa shoka na vile vile kuna wanaume wengine hasara tu.

mkuu unatumia kinywaji gani???
 
duh yaani hao wote uliowataja hakuna ambaye anashindwa kumili gari
 
"Nashangaa wasanii hawana magari yani hata mikweche hiyo ni hatari"-Prof Jay
 
Point ya msingi hawa majamaa hawana magari wala nin hawa wanaobeza beza na kusema gari sijui ni nin au unaona big deal ni washamba wa huko mikoani ukitaka kujua umuhimu wagari ni hivi enzi hizooo watoto wenyewe bontauni imefika weekend unataka uende slip way enzi hizo hamna mlimani city wala nin viwanja wana wengi mnakutana huko na upo sinza mixa uko na beibe utakodi taxi ? au unastay ubungo then harusi ipo golden tulip uko wewe na bi mkubwa wako ndinga hamna utakodi taxi ubungo mpaka golden tulip? bei yake unaijua au ndo utasubiria usafiri wa kwenye harusi au ugongee lift ? embu jaribuni kujiuliza nyie wakuja..kama nimekwaza mtu sorry...Overr...!!!!

Hoja yako ni ya kitoto sana aisee,halafu ni ya kijinga kupita maelezo.
 
Mbona hao wote wana magari yao alafu gari siku izi kwa wasanii sio ishu mbona.
 
Sio kila young ni killer uwezo unajieleza!! Wasanii wa bongo hawana hela msanii mkubwa jina kubwa kama prof jay ana spacio!

We inaelekea bado mtoto sana...kuwa na gari ya kawaida sio kwamba mtu hana pesa feruuz alifosi kuwa na gari kubwa uku analala kwa baba na anategemea Mic kuishi.
 
We inaelekea bado mtoto sana...kuwa na gari ya kawaida sio kwamba mtu hana pesa feruuz alifosi kuwa na gari kubwa uku analala kwa baba na anategemea Mic kuishi.

Adam mchomvu ana collora ya mwaka 90 nyeupe! Ha ha ha haaaaaa!
 
Hoja yako ni ya kitoto sana aisee,halafu ni ya kijinga kupita maelezo.

Unaweza onesha utoto unapoanzia na unapo ishia? na pia ujinga uliopitiliza maelezo umeanzia wapi na umeishia wapi
utakapojibu inabidi ubare in mind that exposure ndo inayoyofautisha mtu na mtu mtazamo na mtazamo so kama wewe ni wale wakuja jibu nimeshaliweka hapo juu exposure being exposed nikkaaaahhh....
 
Back
Top Bottom