Hivi wasichana wanaangalia nini kwa wanaume?

wazee mmenishinda!
thredi siielewi tena punguzeni spidi
 
Wewe unaujua ufanisi wa valeur kwenye kudumisha mila au unasema tu? Mwambie jamaa yako ajaribu uone kama hutanikumbuka!


Ufanisi nao ukizidi huwa si mzuri Xspin kabisa. huo ufanisi ulio nao haujakutosha bado???
 
Mama yangu hakukosea aliponambia wanawake warembo wana mambo!
Pole rafiki yake Papa Mopao
 
Mama yangu hakukosea aliponambia wanawake warembo wana mambo!
Pole rafiki yake Papa Mopao

Si unajua tena mwanamke mzuri hakosi kasoro kamwe kama sio mgawa ovyo basi mchoyo kama sio hivyo basi ana roho mbaya kama sio hivyo ni mwizi.
 
Yule naye ana matatizo mke wa tano imagine na wa sita yuko mbioni tayari nilisoma habari hiyo jana mila zote za mke wa sita tayari
Hivi kuna raha gani kuoa wanawake wengi hivyo? sori off pointi kidogo

Kudumisha Mila!
 
Lakini, kwa nini tusilichukulie hili jibu positive? what if alikuwa anajaribu kuwa muwazi ili amsaidie huyo jamaa. yawezekana kweli mshkaji alikuwa ananuka, tena inawezekana hakuwa ananuka kingine ila mipombe . Imagine unaongea na mtu, harufu inayotoka ni kama mtambo wa TBL, halafu yeye yupo busy anakuimbisha, na tena ukimuangalia usoni hakuna chembe ya love bali tamaa. Na kwa bahati yake mbaya, siku hiyo umeamka on the wrong side of the bed, what do you expect?
 
Ufanisi nao ukizidi huwa si mzuri Xspin kabisa. huo ufanisi ulio nao haujakutosha bado???

Hebu m-PM ZD akufafanulie! Ila huwa naona wanapumua kwa kasi, wanataka kuning'ata, wanapiga kelele nyingi na baadaye wanalia afu hawataki niondoke kisha wivu unatamalaki. Sa sijui ndo ufanisi au kitu gani hicho.
 


pamoja na yote hayo hilo neno sio la kistaarabu, kwa mtu ambaye hamfahamiani/juani hata kidogo, better kuondoka na kumuacha hapo akiduwaa au ungemjibu vinginevo tu kistaarabu kidogo.
 

Najua hapo kwenye bold umeteleza kidogo na muda si mrefu utawataka watu radhi!
 

Carmel no bana I beg to differ.. unawezasema comment ya aina hiyo kwa mtu ambaye unamfahamu na ataekuelewa but kwa mtu mgeni mpita njia huwezi maana huwezijua reaction yake. Angetafuta maneno ya kistaarab akaufikisha ujumbe huo. Mkaka naye angenyanyua mkono kumpiga angejiteteaje?
 

Dah ukiwa upata hiyo kitu ya TBL ndo mistari unashuka balaaa harufu hiyo ya TBL ni stimu na mzuka omba Mungu awe hajavuta fegi au ndumu maana mixer yake inakuwa balaa, emagine umekubali jamaa anataka ulimi hapo vp?
 
..........dah!😀
enewei,TWENDE KAZI
 
.....................i see!....
ngoja,
nitarudi baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…