Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaujua ufanisi wa valeur kwenye kudumisha mila au unasema tu? Mwambie jamaa yako ajaribu uone kama hutanikumbuka!
Mama yangu hakukosea aliponambia wanawake warembo wana mambo!
Pole rafiki yake Papa Mopao
We bila chambo unakamatika?
Yule naye ana matatizo mke wa tano imagine na wa sita yuko mbioni tayari nilisoma habari hiyo jana mila zote za mke wa sita tayari
Hivi kuna raha gani kuoa wanawake wengi hivyo? sori off pointi kidogo
Lakini, kwa nini tusilichukulie hili jibu positive? what if alikuwa anajaribu kuwa muwazi ili amsaidie huyo jamaa. yawezekana kweli mshkaji alikuwa ananuka, tena inawezekana hakuwa ananuka kingine ila mipombe . Imagine unaongea na mtu, harufu inayotoka ni kama mtambo wa TBL, halafu yeye yupo busy anakuimbisha, na tena ukimuangalia usoni hakuna chembe ya love bali tamaa. Na kwa bahati yake mbaya, siku hiyo umeamka on the wrong side of the bed, what do you expect?Ni kweli Nyama.Mie mbona imenitokea mara nyingi tu(I mean from both sides) kuna nilioona hawanifai kwa muonekano na kuna walioona siwafai pia kwa mtizamo wao.
Ila katika kuwajibu nawajibu kistaarabu ili mradi wajue siwahitaji sio kwa nyodo, hazitakiwi.Unajua haya mambo you never know bwana,usimdharau mtu yoyote.Hujafa hujaumbika.
MEANING............?!chambo inahusikaMmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Ufanisi nao ukizidi huwa si mzuri Xspin kabisa. huo ufanisi ulio nao haujakutosha bado???
Lakini, kwa nini tusilichukulie hili jibu positive? what if alikuwa anajaribu kuwa muwazi ili amsaidie huyo jamaa. yawezekana kweli mshkaji alikuwa ananuka, tena inawezekana hakuwa ananuka kingine ila mipombe . Imagine unaongea na mtu, harufu inayotoka ni kama mtambo wa TBL, halafu yeye yupo busy anakuimbisha, na tena ukimuangalia usoni hakuna chembe ya love bali tamaa. Na kwa bahati yake mbaya, siku hiyo umeamka on the wrong side of the bed, what do you expect?
Lakini, kwa nini tusilichukulie hili jibu positive? what if alikuwa anajaribu kuwa muwazi ili amsaidie huyo jamaa. yawezekana kweli mshkaji alikuwa ananuka, tena inawezekana hakuwa ananuka kingine ila mipombe . Imagine unaongea na mtu, harufu inayotoka ni kama mtambo wa TBL, halafu yeye yupo busy anakuimbisha, na tena ukimuangalia usoni hakuna chembe ya love bali tamaa. Na kwa bahati yake mbaya, siku hiyo umeamka on the wrong side of the bed, what do you expect?
Lakini, kwa nini tusilichukulie hili jibu positive? what if alikuwa anajaribu kuwa muwazi ili amsaidie huyo jamaa. yawezekana kweli mshkaji alikuwa ananuka, tena inawezekana hakuwa ananuka kingine ila mipombe . Imagine unaongea na mtu, harufu inayotoka ni kama mtambo wa TBL, halafu yeye yupo busy anakuimbisha, na tena ukimuangalia usoni hakuna chembe ya love bali tamaa. Na kwa bahati yake mbaya, siku hiyo umeamka on the wrong side of the bed, what do you expect?
Imagine unaongea na mtu, harufu inayotoka ni kama mtambo wa TBL, halafu yeye yupo busy anakuimbisha, na tena ukimuangalia usoni hakuna chembe ya love bali tamaa. Na kwa bahati yake mbaya, siku hiyo umeamka on the wrong side of the bed, what do you expect?
..........dah!😀Si kujishaua jamani mchumba.Mara ohh mie ile bandari yote ni yangu naimiliki.Na ule uwanja wa taifa nao ni wangu mechi ikichezwa mapato yote yanaanzia kwangu.Ilimradi yeye ndio yeye.anatanguliza mijisifa badala ya mapenzi na ndipo mnapokutana na watoto wa geti kali mnakoma kuringa.
Thanks God mchumba haupo hivo.You are yoursef! Iam proud of you
..........dah!😀
enewei,TWENDE KAZI
.....................i see!....Ni kweli Nyama.Mie mbona imenitokea mara nyingi tu(I mean from both sides) kuna nilioona hawanifai kwa muonekano na kuna walioona siwafai pia kwa mtizamo wao.
Ila katika kuwajibu nawajibu kistaarabu ili mradi wajue siwahitaji sio kwa nyodo, hazitakiwi.Unajua haya mambo you never know bwana,usimdharau mtu yoyote.Hujafa hujaumbika.
hilo ndio neno,but hawa wa mlimani city ni pasua kichwa!!
Sugar wa Ukweli maneno yako swadakta, videmu hivyo vinavyokuwa hapo mlimani City ni michosho mitupu!
Nyie hamvijulii.
Ngoja leo ntie timu pale.
Kesho ntawapeni habari!
Nyie hamvijulii.
Ngoja leo ntie timu pale.
Kesho ntawapeni habari!