Will be ther guiding you usijelizwa machozi kisha uje hapa utwambie ulimegua!!
wikend pale ndo utafaidi, leo sidhani
jamaa yako alikuwa ananuka kweli?
Mie yangu macho.am speechlessHahahahaha! Mj1 wewe! Wewe! Wewe! We haya tu!
Tia kambi pale. Tatizo hatujuani, sichelewi kurusha ndoano kwako!
Ukinikubalia, thread yake itakuwa haitoshi!
Hahahaha! Ngoja nicheke tu!
Amani ya Bwana ikutangulie.Halafu na wewe! Wewe! Wewe!
Shauri yako! Huna mdogo wako anayekatiza maeneo yale? Huchelewiu kuwa shem langu!
Hahahahaha! Mj1 wewe! Wewe! Wewe! We haya tu!
Tia kambi pale. Tatizo hatujuani, sichelewi kurusha ndoano kwako!
Ukinikubalia, thread yake itakuwa haitoshi!
Hahahaha! Ngoja nicheke tu!
Mie yangu macho.am speechless
Bahati yangu ni kuwa sina zile qualifications zako so am very safe mydia.
Nitakuwepo pale usihofu
Alikuwa smart kweli alivaa jinsi na t-shirt na viatu cha kuchonga vyeusi alipendeza kwa kiasi chake.
Halafu na wewe! Wewe! Wewe!
Shauri yako! Huna mdogo wako anayekatiza maeneo yale? Huchelewiu kuwa shem langu!
matamaa yametawala sana, huyo mkaka atakuwa ana wake kilichompeleka kwa hyo dada ni tamaa tu hakuna kingine, na mdaa kama angemuona ni type yake ijapo kuwa nae ana wake lakini angeunganisha tela kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake....kupimana imani tu huko mwehh! tamaa jamani wakaka mpunguze tamaa, nyie ndio vyanzo...mami happy new year.
Alikuwa smart kweli alivaa jinsi na t-shirt na viatu cha kuchonga vyeusi alipendeza kwa kiasi chake.
haaa hujaona tatizo bado?..nimecheka mpaka bac! hakuwa type yake bwana hakuna lingine.
tatizo mdogo wangu karakta ni kama zangu, humpati ng'oooooooo(kwanza nilisema siongei na wewe aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah)
tamaaa huzaa mauti.....sasa hapo jamaa kweli tuseme alipenda au alitamani!!! afadhali alipata la kupata (anauka) hahaaaaa loh huyo dada anajeuri kweli kweli!!!!
Huyo jamaa yako na yeye bwana mbona alimpapatikia hivyo huyo msichana?? hatufuatwi kiholela ati. angepaswa afanye mawasiliano ya macho kwanza (eye contact) na mdada, ampe muda wa kublush kidogo na yeye kwa mbali, jamaa naye ajipange, yani yale maandalizi ya mwanzo ni muhimu si kukurupuka tu kisa mdada ni mrembo mweupe anavutia na yeye na matamaa yake akaenda tu bila mpangilio. lazima angetolewa nje hata kama ni mimi ningekushangaa. fikisha ujumbe kwa rafiki yako sawa
Mama yangu hakukosea aliponambia wanawake warembo wana mambo!
Pole rafiki yake Papa Mopao
pamoja na yote hayo hilo neno sio la kistaarabu, kwa mtu ambaye hamfahamiani/juani hata kidogo, better kuondoka na kumuacha hapo akiduwaa au ungemjibu vinginevo tu kistaarabu kidogo.
Nyamayao ukweli ni kwamba jamaa hana yaani hajampata mwenzi!