Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Jamaa hana tamaa kwa jinsi nilivomchukulia approach yake kwa huyo dada siku hiyo! Hakuwa na nia mbaya.
Nachosema mimi tusijudge kwa kutumia story ya upande mmoja, je tumeambiwa conversation nzima ilivyoenda? waht if baada ya kuona mdada hamshobokei jamaa ndo alianza kutoa kshfa kama mjuavyo zile za sizitaki mbichi hizi? labda alianza yeye kukashfu ndo naye akapewa kubwa? what if, what if........, Tusipende kujudge sana wakati hatujui upande mwingine wa story, thats my point.Carmel no bana I beg to differ.. unawezasema comment ya aina hiyo kwa mtu ambaye unamfahamu na ataekuelewa but kwa mtu mgeni mpita njia huwezi maana huwezijua reaction yake. Angetafuta maneno ya kistaarab akaufikisha ujumbe huo. Mkaka naye angenyanyua mkono kumpiga angejiteteaje?
hahaa jamani Nyamayao we mchokozi!!!! kwani vina shida gani vya kuchonga jamani???
haaa hujaona tatizo bado?..nimecheka mpaka bac! hakuwa type yake bwana hakuna lingine.
Ina maana siku zooooote hizo alikuwa hajaona mtu wa kumfaaa,ila ghafla bin vuu ikatokea mlimani citi? Maana uliema uvumilivu ulimshinda na hii inaonyesha huyu jamaa hajatulia kabisaaaa,usimtetee.Au ni wewe nini unatuyeyu! Lakini alilen leson yake,hatarudia tena papara,kwani si vyote ving'aavyo ni dhahabu.
unajua bht hawa wanaume wakati mwingine wanakwaza sana, unaweza kucmamishwa na mtu we akili yako imekutuma labda kapotea njia umuelekeze matokea yake anaanza oohh ahhh zake...mie nabakigi jamani mbona hivi.
Sasa Nyamayao,hebu fikiria,huyo dada aliyemjibu jamaa kwamba unanuka pale Mlimani city siku akikutana nae ofisi moja kama wafanyakazi,ile picha ya kuambiwa 'UNANUKA' itafutika?
Hahahaha! Sasa Mlimani City alienda kufanya nini? Si angejimwaga zake kambi ya fisi akajipakulie vyake?
😀😀😉Msipotongozwa mnajisikia vibaya, mkitongozwa mnatukana. Mnataka tuwabake?
tena niambie nikusindikize kabisaaa.I know you are kidding!
Msipotongozwa mnajisikia vibaya, mkitongozwa mnatukana. Mnataka tuwabake?
Nyie hamvijulii.
Ngoja leo ntie timu pale.
Kesho ntawapeni habari!
Currently Active Users Viewing This Thread: 43 (16 members and 27 guests) carmel+, Chief, Hombre, Kaizer, Kamese B Magoti, Kunta Kinte, MjasiriamaliShupavu, muhanga, Ndugu, Nyamayao, Papa Mopao, PingPong, Vumilia matola, Ziondaughter+
Ahaaa! Wote mmeweka kambi hapa siyo? Siasa hamuitaki kabisa siyo? Taifa atajenga nani sasa?
Taratibu braza!!!!!
Ina maana siku zooooote hizo alikuwa hajaona mtu wa kumfaaa,ila ghafla bin vuu ikatokea mlimani citi? Maana uliema uvumilivu ulimshinda na hii inaonyesha huyu jamaa hajatulia kabisaaaa,usimtetee.Au ni wewe nini unatuyeyu! Lakini alilen leson yake,hatarudia tena papara,kwani si vyote ving'aavyo ni dhahabu.
Mkuu Abdulhalim nakupa tano. Mwishowe wasichana wanaishia kuwa wasagaji!!
Wengi ni wazuri kwa nje tu, lakini ndani hawajui mapenzi wala hawana upendo.
Mkulu hilo nalo neeeeeno... Warembo hasa wa mjini wanaigiza hadi maisha yao ya kila siku... Wengi wao wanapenda kinakifiki!Bora niwe Super Bachelor!
Tukutane Mlimani City mkuu. Kumi na moja kamili juu ya alama; Tayari kuwaadabisha wanawake wanaodhalilisha wanaume.Nasubiri mkuu ili unijuze mbinu
Afu na wewe mateniti livu imeshaisha?haaa huyu mrembo mbona hana adabu ..anamtamkia mwanaume rijari ananuka hee ..