Hivi wasichana wanaangalia nini kwa wanaume?

Hivi wasichana wanaangalia nini kwa wanaume?

Tatizo hata nyie wanaume mnapojipresent kwa wadada mnakwenda huku mkijionyesha kwa pesa na siyo nyie kama nyie mkiwa na moyo ulojaa upendo.


matamaa yametawala sana, huyo mkaka atakuwa ana wake kilichompeleka kwa hyo dada ni tamaa tu hakuna kingine, na mdaa kama angemuona ni type yake ijapo kuwa nae ana wake lakini angeunganisha tela kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake....kupimana imani tu huko mwehh! tamaa jamani wakaka mpunguze tamaa, nyie ndio vyanzo...mami happy new year.
 
matamaa yametawala sana, huyo mkaka atakuwa ana wake kilichompeleka kwa hyo dada ni tamaa tu hakuna kingine, na mdaa kama angemuona ni type yake ijapo kuwa nae ana wake lakini angeunganisha tela kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake....kupimana imani tu huko mwehh! tamaa jamani wakaka mpunguze tamaa, nyie ndio vyanzo...mami happy new year.

Hivi hizi tamaa tunazo peke yetu? Mbona tukiwatongoza hamkatai? Wote tuna tamaa bana, sema tu nyie waoga kurusha ndoano! Acheni zenu hizo.
 
Mhh angalieni na level zenu bwana, mwanamke lazima ufanane naye matawi ya juu yaacheni bwana
 
Halafu na wewe mbona hukunitakia heri ya mwaka mpya? Wanawake wengine wakijibu kibabe ndio wanaona dili eti!

luv jamani mbona niliku pm humu?.....lakini na nyie kila kizuri mkionacho mnakitaka?..na kina dada nao wanaona kabisa huyu mtu hawezi kuwa nami kutokana na nyie kukurupuka ndio mnakutana na wenye adabu za mawazo mnapewa majibu kaam hayo.....jirikebisheni.
 
Hivi hizi tamaa tunazo peke yetu? Mbona tukiwatongoza hamkatai? Wote tuna tamaa bana, sema tu nyie waoga kurusha ndoano! Acheni zenu hizo.

ndio maana nikasema nyie ndio waanzilishi/washawishi...tamaa zipo kote kote.
 
luv jamani mbona niliku pm humu?.....lakini na nyie kila kizuri mkionacho mnakitaka?..na kina dada nao wanaona kabisa huyu mtu hawezi kuwa nami kutokana na nyie kukurupuka ndio mnakutana na wenye adabu za mawazo mnapewa majibu kaam hayo.....jirikebisheni.

Hahahaha! Naona labda invizibo aliiteka nyara PM yako! Ana wivu huyu jamaa, we acha tu. Si vibaya ukinitakia tena, kwa afya yangu tafadhali.
 
Mhh angalieni na level zenu bwana, mwanamke lazima ufanane naye matawi ya juu yaacheni bwana


hii pia ishu, cmaanishi kwamba mtu achague kivile lakini ki ukweli mtu unaweza kusema huyu ananifaaa huyu hapana....
 
hahahaha! Naona labda invizibo aliiteka nyara pm yako! Ana wivu huyu jamaa, we acha tu. Si vibaya ukinitakia tena, kwa afya yangu tafadhali.


happy new year ma sweetheart.....
 
Nimekugongea..lakini si kwa upwaaaz bali kwa swali lenye point .......... maana mimi si mpwaaaz..........

Hahaha! Wewe ni lijendi! Umekula SENKSI pia! Na nyingine nakugongea kwa hapa. THENKSI
 
happy new year ma sweetheart.....

Same to you darling! Leo ntakunywa serengeti mbili kwa afya yako then ntahamia kwenye valeur kudumisha mila. Turudi kwenye mada sasa: Hivi kila mwanaume ana level yake? Utaijuaje level yako? Mi naamini mapenzi hayana level!
 
matamaa yametawala sana, huyo mkaka atakuwa ana wake kilichompeleka kwa hyo dada ni tamaa tu hakuna kingine, na mdaa kama angemuona ni type yake ijapo kuwa nae ana wake lakini angeunganisha tela kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake....kupimana imani tu huko mwehh! tamaa jamani wakaka mpunguze tamaa, nyie ndio vyanzo...mami happy new year.

tamaaa huzaa mauti.....sasa hapo jamaa kweli tuseme alipenda au alitamani!!! afadhali alipata la kupata (anauka) hahaaaaa loh huyo dada anajeuri kweli kweli!!!!
 
Hawa wanaume wanayataka wenyewe wala wasilalamike.Duniani kuna watu wa kila aina na tabia.Kuna wanaume wenye mashauzi na wanawake wenye nyodo.
Tena kuna wanaume (hasa wanamuziki na wasaluni) wanaoangalia mijimama yenye fedha ili waichune,ndio kusema hapo kweli wana mapenzi ya dhati.
Mitamaa imewazidi na mnadhani pesa ndio silaha yenu.sasa yanawakuta kama hayo mnalalamika.
 
Hawa wanaume wanayataka wenyewe wala wasilalamike.Duniani kuna watu wa kila aina na tabia.Kuna wanaume wenye mashauzi na wanawake wenye nyodo.
Tena kuna wanaume (hasa wanamuziki na wasaluni) wanaoangalia mijimama yenye fedha ili waichune,ndio kusema hapo kweli wana mapenzi ya dhati.
Mitamaa imewazidi na mnadhani pesa ndio silaha yenu.sasa yanawakuta kama hayo mnalalamika.

haswa usikute jamaa alienda na mkwara ati anazo akautana na jibu la kushiba!!!
 
Same to you darling! Leo ntakunywa serengeti mbili kwa afya yako then ntahamia kwenye valeur kudumisha mila. Turudi kwenye mada sasa: Hivi kila mwanaume ana level yake? Utaijuaje level yako? Mi naamini mapenzi hayana level!

hapa level ninayoizungumzia ni utofauti uliopo kimuonekano labda naweza kusema, kuna mtu unaweza kumuangalia hivi tu na ukaona huendani nae, kimaongezi/ustaarabu nk.
 
haswa usikute jamaa alienda na mkwara ati anazo akautana na jibu la kushiba!!!




haa kadungwa kristapeni, cku inakuharibikia hivi hivi unaiona, jamaa kajiendea "dada ssamahani naomba kuongea na wewe kidogo".....jibu alilopewa akanywea mwenyewe.
 
Hawa wanaume wanayataka wenyewe wala wasilalamike.Duniani kuna watu wa kila aina na tabia.Kuna wanaume wenye mashauzi na wanawake wenye nyodo.
Tena kuna wanaume (hasa wanamuziki na wasaluni) wanaoangalia mijimama yenye fedha ili waichune,ndio kusema hapo kweli wana mapenzi ya dhati.
Mitamaa imewazidi na mnadhani pesa ndio silaha yenu.sasa yanawakuta kama hayo mnalalamika.

Mchumba kiswahili kimenipiga chenga kidogo. Ufafanuzi hapo kwenye bold tafadhali.
 
hapa level ninayoizungumzia ni utofauti uliopo kimuonekano labda naweza kusema, kuna mtu unaweza kumuangalia hivi tu na ukaona huendani nae, kimaongezi/ustaarabu nk.

Ni kweli Nyama.Mie mbona imenitokea mara nyingi tu(I mean from both sides) kuna nilioona hawanifai kwa muonekano na kuna walioona siwafai pia kwa mtizamo wao.
Ila katika kuwajibu nawajibu kistaarabu ili mradi wajue siwahitaji sio kwa nyodo, hazitakiwi.Unajua haya mambo you never know bwana,usimdharau mtu yoyote.Hujafa hujaumbika.
 
Back
Top Bottom