Hivi watu hawa viungo vyao vinafanyakazi kweli?

Kwa kuzaliwa hakuna watu kama hao.
Ila wanajitengeneza kutumia dawa na upasuaji.
 
Hao shemalle nao inafanya kazi kweli? Maana kama ni kweli picha tuzionazo unakuta kiumbe chenye muonekano wa kike kina mashine hasa
Hao ndio Shemale mara nyingi huwa Wanaune anapigwa Surgery anaweka maziwa ila chini anachuma haswaa na sio wakuzaliwa hawa!!

Japo kuna wale wenye two in one jina lao limenitoka kidogo hawa utakuta jinsia moja ndio inanguvu sana nyingine dhaifu
 
Hao wenye muonekano wa kike wanahisia kama wanawake kabisa ama hata kuzidi.
 
Biblia na Quran imetoka Adam na Hawa tu sasa hao wana scientist sijui wamewatoa lab hao wengine[emoji1787]
Adam na Hawa walikua walemavu?
Adama na Hawa walikua Wagumba na Tasa?

Je, hawa Walemavu, Wagumba na Tasa wametoka wapi?

Muwe mnatumia akili kidogo, Dini zisiwafanye kua mazezeta.
 
Kama huyu 😎
 

Attachments

  • IMG-20220921-WA0022.jpg
    44.8 KB · Views: 8
Biblia na Quran imetoka Adam na Hawa tu sasa hao wana scientist sijui wamewatoa lab hao wengine[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bible na Quran tenaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…