Hivi watu mnaokaa uswahilini mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali?

Hivi watu mnaokaa uswahilini mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??

Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.

Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije

Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.

Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
 
Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??

Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.

Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije

Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.

Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
Waacha wenzio wapo DAR aha haha. Wanasema.heri kuishi Tandale uswahilini kuliko singida ushuani.
 
Ndio mjue kuwa mnapopigia kura viongozi wa hovyo mnakuwa mnaruhusu raia wenzetu kuwekwa maeneo ya hovyo kama hivyo na kuteseka.

Wao wanalala usingizi mzuri vyumba vyenye AC,maji 24/7. Hawana hizo shida wanaona ni story tu ila sio uhalisia.

Binadamu hawana huruma. Mtu ukipita pale unajisikia vibaya wanadamu wenzako wanaishi maisha utadhani wakimbizi kwenye taifa lao,kumbe ni watu wanawatumia kama fursa za kuombea kura nyakati za uchaguzi.
 
Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??

Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.

Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije

Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.

Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?

Ndio kwetu huko ,we wakishua sisi Tunapita Ulipokatazwa Kupita... Mbona tunaishi tu
 
Lazima kuwepo na classes

Wewe haupo kwenye hiyo class,unaweza ona kana kwamba mbona wanateseka

Lakini wao wanaona hii hali mbona kama ya mwaka juzi

So experience za maisha haziwezi kuwa sawa ata siku moja

Lakini yote kwa yote wote tuna suffer kwa style tofauti tofauti
 
Una bahati anko wako wa msasani alijipata mapema ulipokuja dar ukafikia huko, ila jitahidi umjengee mama sehemu kanyumba hata awe anaogea ndani tumechoka kumuona kila anapooga kwenye kale kabafu kake ka nyasi na fito urefu wa kufikia kifuani 😢
Unaona kakichwa cha mama mtoa mada kanachungulia na mapovu kichwani 😂
 
Hadi huku Ushuani Goba joto kama lote, sasa hawa waswahili wa maeneo tajwa hapo juu 👆🏻 sijui hali zao kwakweli
 
Back
Top Bottom