Hivi watu mnaokaa uswahilini mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali?

Hivi watu mnaokaa uswahilini mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali?

Nyie jamaa mnachekesha sana🤣🤣🤣🤣
😄 Mwanangu inachekesha ila omba isikukute. Mbaya zaidi kuna manzi hiyo mitaa alinikataa kikatili sana. Unajua wale mademu wanaoonekana viruka njia halafu akukatae? Ilikuwa maumivu makali.
 
Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??

Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.

Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije

Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.

Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
Kuna feni aisee
 
😄 Mwanangu inachekesha ila omba isikukute. Mbaya zaidi kuna manzi hiyo mitaa alinikataa kikatili sana. Unajua wale mademu wanaoonekana viruka njia halafu akukatae? Ilikuwa maumivu makali.
Ulienda kwa pigo za ushuani. Huko hawatongozwi anaitwa Dinner au lunch anakuja hajavaa chupi. Mkimaliza unamtoa ya kula usiku na nauli
 
Hatari sana, maeneo kama Dar halafu na Tanga hasa mjini Yana joto sana labda ukae na AC muda wote...Sasa hivi kama upo Dar na una hela basi AC utainunua maana huwezi kulala na unateseka na pesa zako, uchuro utakuwa.
Yapo maeneo machache dar hii hii tunalala bila feni wala AC ni kaupepo flani kazurii
 
Ukute muanzisha sredi yupo zake Kwa Binti Madenge, kibarazani anashusha nondo kunanga wenzie🤣🤣🤣🤣
 
Usiku kulikuwa na joto Sana imefika alfajiri sijui baridi imetokea wapi na upepo
 
Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??

Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.

Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije

Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.

Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
Ukiacha yote sijui kuna ugomvi gani kati ya miti na watu masikini, wanachukia sana miti utakuta anakata mti ambao unamletea kivuli nyumbani kwake ukimuuliza anakwambia majani yake yanadondoka sana
 
Back
Top Bottom