Hivi watu mnaokaa uswahilini mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali?

Hivi watu mnaokaa uswahilini mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali?

Washazoea hiyo hali

Kuna sehemu ukifika mfano mazizini ile harufu ya pale wenyeji hawaisikii Ila wageni wanaisikia
Keko hapa kona kwenye depot ya bia pale 🀣🀣kuchafu sana ,halafu kuna mabibo mwisho ..
 
Nilishawahi ishi Ilala Msimbazi bondeni kwenye nyumba haina umeme. Hapo nilikuwa nimepewa hifadhi na jamaa yangu mmoja wakati nimekuja Dar kujitafuta. Ilikuwa miezi kadhaa ya dhiki kuu. Kulikuwa na mbu ambao hawaelezeki kirahisi balaa lao. Hilo joto lilikuwa sio poa. Mimi nilikuwa nikiamka asbh ni kwenda tu Kkoo hata kama sina ishu. Cha kushangazana ule mtaa kwa kuchakatana sijawahi ona. Watu hawajali joto wanatiana mchana. Nilipata uzoefu mkubwa sana wa haya maisha.
 
Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??

Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.

Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije

Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.

Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
Ha hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£......AISEH!
 
Nimecheka!
Wanaiba wavu wa dirisha mtu akiwa katoka ama

Hata ukiwepo wanapita nao tu, ni rahisi kuuchomoa ukishabandua zile "papi" za mbao zinazowekwa kuushika wavu...

Uswazi unaibiwa nguo ukiacha nje na kamba yake ya kuanikia, watu wanatembea na vyombo, viatu, ndala, yebo, waya wa dish/antenna...
 
Wewe kama unaishi mwananyamara, tandale, buguruni, na manzese tafadhali Sana usimcheke mwijaku anakuzidi kimaisha yule
 
Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??

Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.

Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije

Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.

Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
mababu zako walioishi miaka ya 1800 kwenda 1900 walisavaiv vip............ ?
 
Ila ushuani kupata sonona njenje. Watu hakuna mawasiliano kila mtu na maisha yake. Hakuna ujirani mwema mnapishana kwenye magari kama nyangumi kwenye maji. Maisha ya ushuani ni mazuri ila nikiangalia watoto wanaamka rafiki zao wako shule tu inaleta shida. Uzuri wako wa maisha hayo hakuna videsturi vya uswahilini
 
Nilishawahi ishi Ilala Msimbazi bondeni kwenye nyumba haina umeme. Hapo nilikuwa nimepewa hifadhi na jamaa yangu mmoja wakati nimekuja Dar kujitafuta. Ilikuwa miezi kadhaa ya dhiki kuu. Kulikuwa na mbu ambao hawaelezeki kirahisi balaa lao. Hilo joto lilikuwa sio poa. Mimi nilikuwa nikiamka asbh ni kwenda tu Kkoo hata kama sina ishu. Cha kushangazana ule mtaa kwa kuchakatana sijawahi ona. Watu hawajali joto wanatiana mchana. Nilipata uzoefu mkubwa sana wa haya maisha.
Nyie jamaa mnachekesha sana🀣🀣🀣🀣
 
joto kama hili alafu jirani yako kafungulia sabufa sauti ya juu unaweza ukadata
 
Washazoea hiyo hali

Kuna sehemu ukifika mfano mazizini ile harufu ya pale wenyeji hawaisikii Ila wageni wanaisikia
Samahani mkuu,

Hivi kwa mfano ukaenda sehemu Kuna harufu Kali ...je unaweza kuisikia harufu ?
Yaani harufu zinatoa sauti ?
 
Hatari sana, maeneo kama Dar halafu na Tanga hasa mjini Yana joto sana labda ukae na AC muda wote...Sasa hivi kama upo Dar na una hela basi AC utainunua maana huwezi kulala na unateseka na pesa zako, uchuro utakuwa.
 
Back
Top Bottom