Keko hapa kona kwenye depot ya bia pale 🤣🤣kuchafu sana ,halafu kuna mabibo mwisho ..Washazoea hiyo hali
Kuna sehemu ukifika mfano mazizini ile harufu ya pale wenyeji hawaisikii Ila wageni wanaisikia
Ha hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁😄😄😄😄😄😄😃😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣......AISEH!Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??
Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.
Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije
Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.
Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
Kwa joto hilo mtajikuta mmetapikiana na kujiharishia katikati ya mchezoHuu ndo wakati sahihi wa kupelekeana moto, mkitoka hapo mnakuwa kama vile mmetoka swimming pool 🔥
Nimecheka!
Wanaiba wavu wa dirisha mtu akiwa katoka ama
Haki kabisa 😀 asije akajisahau kwa huyo mjomba ake wa ukoo🤣Unaona kakichwa cha mama mtoa mada kanachungulia na mapovu kichwani 😂
Mtoa mada ana udoni umetokea wapiJifunze sana kuishi maisha yako.
Uliwahi sikia wamewalalamikia nyie mnaoishi kidoni!!!?
Tabu zetu zisikusumbue wewee!!!!
😄😁Vibaka na watu wa chuma chakavu wataziacha!
Uswazi watu wanaiba hadi wavu wa dirisha...
mababu zako walioishi miaka ya 1800 kwenda 1900 walisavaiv vip............ ?Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??
Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.
Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije
Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.
Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
Nyie jamaa mnachekesha sana🤣🤣🤣🤣Nilishawahi ishi Ilala Msimbazi bondeni kwenye nyumba haina umeme. Hapo nilikuwa nimepewa hifadhi na jamaa yangu mmoja wakati nimekuja Dar kujitafuta. Ilikuwa miezi kadhaa ya dhiki kuu. Kulikuwa na mbu ambao hawaelezeki kirahisi balaa lao. Hilo joto lilikuwa sio poa. Mimi nilikuwa nikiamka asbh ni kwenda tu Kkoo hata kama sina ishu. Cha kushangazana ule mtaa kwa kuchakatana sijawahi ona. Watu hawajali joto wanatiana mchana. Nilipata uzoefu mkubwa sana wa haya maisha.
Uweze kuweka AC na kuigharamia na uishi huko uswahilini? Sidhani mkuu, AC sio kwa ajili ya watu wa chini, ni ghali kuihudumia(kununua umeme wake)Basi wekeni AC
Samahani mkuu,Washazoea hiyo hali
Kuna sehemu ukifika mfano mazizini ile harufu ya pale wenyeji hawaisikii Ila wageni wanaisikia