MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
😄 Mwanangu inachekesha ila omba isikukute. Mbaya zaidi kuna manzi hiyo mitaa alinikataa kikatili sana. Unajua wale mademu wanaoonekana viruka njia halafu akukatae? Ilikuwa maumivu makali.Nyie jamaa mnachekesha sana🤣🤣🤣🤣
Kuna feni aiseeHivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??
Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.
Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije
Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.
Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?
Ulienda kwa pigo za ushuani. Huko hawatongozwi anaitwa Dinner au lunch anakuja hajavaa chupi. Mkimaliza unamtoa ya kula usiku na nauli😄 Mwanangu inachekesha ila omba isikukute. Mbaya zaidi kuna manzi hiyo mitaa alinikataa kikatili sana. Unajua wale mademu wanaoonekana viruka njia halafu akukatae? Ilikuwa maumivu makali.
DaaahWashazoea hiyo hali
Kuna sehemu ukifika mfano mazizini ile harufu ya pale wenyeji hawaisikii Ila wageni wanaisikia
Sauti kubwa na joto havipatani na sabufa lenyewe liwe la kichina🙌joto kama hili alafu jirani yako kafungulia sabufa sauti ya juu unaweza ukadata
Yapo maeneo machache dar hii hii tunalala bila feni wala AC ni kaupepo flani kazuriiHatari sana, maeneo kama Dar halafu na Tanga hasa mjini Yana joto sana labda ukae na AC muda wote...Sasa hivi kama upo Dar na una hela basi AC utainunua maana huwezi kulala na unateseka na pesa zako, uchuro utakuwa.
Hongereni sana, sehemu ambazo naweza kulala bila hivyo vitu ni mikoa ya baridi.Yapo maeneo machache dar hii hii tunalala bila feni wala AC ni kaupepo flani kazurii
Siku hizi Goba mna maji?Hadi huku Ushuani Goba joto kama lote, sasa hawa waswahili wa maeneo tajwa hapo juu 👆🏻 sijui hali zao kwakweli
Hizo Ac ukifunga Leo kesho hazipo watu washapeleka kwenye vyuma chakavu zamani sanaHayo maeneo ukifunga AC/Feni hazifanyi kazi?
Ukiacha yote sijui kuna ugomvi gani kati ya miti na watu masikini, wanachukia sana miti utakuta anakata mti ambao unamletea kivuli nyumbani kwake ukimuuliza anakwambia majani yake yanadondoka sanaHivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame??
Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba zimesongamana hata gari haiwezi kupita.
Humo hakuna miti kabisa, huko kuna shida za maji tu, yaani ni dhiki tu, na joto hili mnaishije
Nakumbuka niliwahi kwenda mitaa fulani nyuma kabla hujafika matumbi, kibarabara kinachoingilia ule mtaa wa kiwanda cha sijui cha nida kuna ule mto humo kwenye huo mtaa hakuna mti hata mmoja,nyumba zimebanana gari haiwezi kupita hata bodaboda pananuka dhiki na uchafu kila mahali, kulikua na joto utadhani wanaishi ndani ya tanuru.
Sijui mnaoishi hayo maeneo mnasavaivu vipi?