Hivi watu wa dar mnafanya kazi saa ngapi?

Mkuu mbona haya ni nchi nzima sio Dar pekee - watu wana wakati wa majungu na udaku
 
Hiyo ni hulka ya kila binadamu, kunapotokea kitu,kutaka kujua nini kinachoendelea

Badala ya kukusanyika nao...

Fanya kama unapita hivi...


Cc: mahondaw
 
Sasa cha kushangaza kwenye tukio hawatoagi msahada wanakuaga wapenzi watazamaji!!
 
Unajua Dar ina wakazi million ngapi? Tofauti na kijijin kwenu ulipotoka hapa mjin kazi n usiku mchana..24/7.. We ukiwa unaenda kazin mda huo wenzako wamepumzika..
 

Vip kwani...kuna mwana dsm alishawahi kukulilia njaa wewe wa mkoani?
dar hatutumii nguvu kufanya kazi...just akili nyingi tofauti na nyie wa mikoani kina pawa iranda wapasua mbao na wachimba ardhi kula kwa tindo kulala kwa sururu.
Hahahahahahaha
 
Huku dar kazi si lazima mchana wengine wanapiga kazi usiku halafu wengine ni madoni kazi wanafanya wa kutoka mkoani yeye anaenda kukagua tu jioni.
 
Subiri ugongwe na baiskeli ,utajua dar watu wanafanya kz gan
 
Kwani wewe unataka wapi? Sio sahihi kutakatisha kijiji chako na Dar. Ujue Dar kuna watu zaidi ya 5M wakati kijijini kwako hamfiki huku?
 
Dar es salaam kuna idadi kubwa ya watu kuliko kijijini kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…