Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Wewe pambana na hali yako. Watu wa Dar waache kama walivyo. Sijui na wewe unafanya kazi saa ngapi kama muda wako unatumia kufuatilia watu wa Dar wanavyoshangaa matukio!Kwa kweli huwa mnanichanganya kila nikija dar likitokea tukio hata kama ni dogo lazima watu wajae mfano hata mtu aanguke na baiskeli watu lazima wakusanyike watu wakigombana kidogo lazima watu wakusanyike tatizo hamna kazi za kufanya au ni umbea cha ajabu ni wanawake na wanaume. Najiuliza hivi mnafanya kazi saa ngapi? Maana matukio ni mengi
Nimeipenda avatar yako
Mkuu hili jibu limamaliza Uzi wote
Sorry are u gay!!!!????????Nimeipenda avatar yako
Daah,kumbe nawee umeona?mi niliona nkasema ngoja niuchune,hiv dume unasifiaje picha ya dume mwenzio,achen use**ngeSorry are u gay!!!!????????
Umenikera na kuandika x badala ya s sipendi hii tabiaDar inahitajika akilinyingi xana na wala swala la kufanya kazi co la muhimu xana,hata ukiokota makopo pesa unapata,ila huku mikoan cjaona waokota machupa
Unataka Dar ifanane na Chato?Dar sio kama mikoani maana kuna mikoa mingine saa 1 usiku kila mtu kashajifungia zinabaki baa & klabu.
Dar hailali pesa zinatafutwa saa 24 kwa hiyo wakati wewe ulipokuwa unawashangaa wenzio usishangae hao walikua wamepumzika wanasubiri mida ifike warudi kwenye michakato.
Ni shida! Wengi hawana kazi, wako chini ya miti kubangaiza tu, kwenye mafremu wapo, kinyozi wapo, kupiga domo tu, ndiyo maana hawampendi MAGU, kawaambia aisyefanya kazi na asile! Kila kitu wanakimbilia, ajali wamo, umegombana na mkeo wapo, umedondoka na baiskeli wamo, barabara yatengenezwa wapo, tapeli manyaunyau wapo, kigodoro wapo! Waambie basi kuna kazi ya kupaliliaa duh! Watakimbia kuliko..Kwa kweli huwa mnanichanganya kila nikija dar likitokea tukio hata kama ni dogo lazima watu wajae mfano hata mtu aanguke na baiskeli watu lazima wakusanyike watu wakigombana kidogo lazima watu wakusanyike tatizo hamna kazi za kufanya au ni umbea cha ajabu ni wanawake na wanaume. Najiuliza hivi mnafanya kazi saa ngapi? Maana matukio ni mengi
Dar mmezidiMkuu mbona haya ni nchi nzima sio Dar pekee - watu wana wakati wa majungu na udaku
Wote wanao kusanyika huwa ni watu kutoka Mikoani....Kwa kweli huwa mnanichanganya kila nikija dar likitokea tukio hata kama ni dogo lazima watu wajae mfano hata mtu aanguke na baiskeli watu lazima wakusanyike watu wakigombana kidogo lazima watu wakusanyike tatizo hamna kazi za kufanya au ni umbea cha ajabu ni wanawake na wanaume. Najiuliza hivi mnafanya kazi saa ngapi? Maana matukio ni mengi
Unataka Dar ifanane na Chato?