Hivi watu waliokufa zamani wanapata wapi nguvu ya kutatua shida zetu? Hao kina Yesu, Bikira Maria na Mizimu?

Hivi watu waliokufa zamani wanapata wapi nguvu ya kutatua shida zetu? Hao kina Yesu, Bikira Maria na Mizimu?

Najiuliza sipati jibu, labda wenzangu mtakuwa Na majibu. Mizimu inanipaje utajiri wakati nao walikuwa masikini?
Yeah Na Bikira Maria hawakuwa matajiri, wanaweza vipi kunipa utajiri?

Sawa kina Mwamposa ni matajiri kwa kuwa ni wajanja wa Mjini.
Yesu si mzimu, anaishi.! Yeye hatoi utajiri anatoa uzima wa milelele kwa wamuaminio.
Utajiri ni baraka zitokanazo na mapenzi yake kwetu.
 
Najiuliza sipati jibu, labda wenzangu mtakuwa Na majibu. Mizimu inanipaje utajiri wakati nao walikuwa masikini?
Yeah Na Bikira Maria hawakuwa matajiri, wanaweza vipi kunipa utajiri?

Sawa kina Mwamposa ni matajiri kwa kuwa ni wajanja wa Mjini.

Najiuliza sipati jibu, labda wenzangu mtakuwa Na majibu. Mizimu inanipaje utajiri wakati nao walikuwa masikini?
Yeah Na Bikira Maria hawakuwa matajiri, wanaweza vipi kunipa utajiri?

Sawa kina Mwamposa ni matajiri kwa kuwa ni wajanja wa Mjini.
Huwa nasikia Kuhani Musa akidai ukitoa fedha za kujenga kanisa lake unakuwa takjiri,kama huna mke/mtoto unapata mara moja
 
Bujibuji kavu sana aisee una ufikiri mkubwa sana shida upo huku Kawetele...
 
Wafu hawana uwezo wa kusaidia walio hai, bali watu walio hai wanaweza wasaidia wafu kwa kuwaombea wapate ahueni huko waliko.
...kwamba jinga fulani ambalo katika uhai wake halikutubu dhambi zake ili lisamehewe...nyie mnao uwezo wa kuliombea likasamehewa?!
 
...kwamba jinga fulani ambalo katika uhai wake halikutubu dhambi zake ili lisamehewe...nyie mnao uwezo wa kuliombea likasamehewa?!
Hakuna asiye na dhambi, wote ni wakosaji na ni vyema kuombeana japo Mungu yeye ndyo humsamehe amtakaye.
 
Hivyo mnavyoviamini mbona sisi hatuviongelei humu,,kila mtu afe na chake,

tunakuombea ipo siku nawewe utamkubali Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako.
 
Ni sawa na wale waongo wanaojifanya usiku wanaruka na ungo wakati tuna kero ya foleni hapa town
 
Hakuna asiye na dhambi, wote ni wakosaji na ni vyema kuombeana japo Mungu yeye ndyo humsamehe amtakaye.
Mkuu hebu nisaidie...Kwa mfano mimi nikuibie ile pikipiki yako...niipige bei...then nife bila kutubu wala kukuomba msamaha...ndugu na marafiki wakiniombea Mungu atanisamehe?
 
Mkuu hebu nisaidie...Kwa mfano mimi nikuibie ile pikipiki yako...niipige bei...then nife bila kutubu wala kukuomba msamaha...ndugu na marafiki wakiniombea Mungu atanisamehe?
Kusamehe ni maamuzi ya Mungu wenyewe, kufanya dhambi moja haifuti mazuri yote uliyowahi kufanya.

Huenda lipo jema moja ulilofanya likasababisha Usamehewe mabaya yote mengine
 
Kusamehe ni maamuzi ya Mungu wenyewe, kufanya dhambi moja haifuti mazuri yote uliyowahi kufanya.

Huenda lipo jema moja ulilofanya likasababisha Usamehewe mabaya yote mengine
Nashukuru kiongozi ila nadhani pia tuna misimamo na imani tofauti that is why hatutafikia hitimisho linalofanana katika hili! Mimi ni mu-adventista msabato ninaamini nikifa kabla sijayakabidhi maisha yangu kwa MUNGU basi nitakuwa nimepotea milele!naiheshimu imani yako, asante
 
Nashukuru kiongozi ila nadhani pia tuna misimamo na imani tofauti that is why hatutafikia hitimisho linalofanana katika hili! Mimi ni mu-adventista msabato ninaamini nikifa kabla sijayakabidhi maisha yangu kwa MUNGU basi nitakuwa nimepotea milele!naiheshimu imani yako, asante
Vyema sana mkuu, pia tusifanye dhambi kwa kusubiri kuombewa msamaha na ndugu, tuwajibike kwa matendo yetu
 
Hizo stori zilitungwa kuburudisha wasomaji. Wakatokea wajanja kadhaa wakawaaminisha watu kwamba hizo sio ngano tu, ni uhalisia na watu wengine wakaamini, Kisha wakatiwa mirija ya kiuchumi.

Basi ndiyo mpaka leo wajinga wanaliwa.
 
Ukiwa mpagani huwezi kuelewa mambo ya imani za wengine, very simple.

Ukitaka kujua amini uwafuate utaoneshwa njia, lakini ukiwa nje unaulizia utajichosha akili tu.
 
Back
Top Bottom