Hivi watu wanaosubiri kutekelezwa kwa hukumu ya kifo, siku au dakika za mwisho huwa wanakuwa katika hali gani?

Hivi watu wanaosubiri kutekelezwa kwa hukumu ya kifo, siku au dakika za mwisho huwa wanakuwa katika hali gani?

Niliona clip moja jamaa alikuwa anakula msosi wake wa mwisho akisubiri hukumu ya kunyongwa. Mikono yake ilikuwa inatetemeka balaa huku akila, expresion ya uso wake ukiiona itakutia huzuni sana.
Hii adhabu ni mbaya sana.
 
Nilipata kusikia ya kua wanaishi kama paradiso, hawafanyi kazi yoyote, wanakula vizuri, kusoma vitabu na magazeti huku wakisubiri vifo vyao.
 
Kuna story moja ya dogo anaitwa George Stinney, ni black American alihukumiwa kufa kwa hiyo electric chair, alikuwa na miaka 14 tu. Daah ni story ya kusikitisha sana na kuna movie pia on the same story
Yeah naifahamu hiyo story mkuu, ndio ilionifanya nione hiyo adhabu ni ya kinyama sana, hasa ukizingatia dogo mwenyewe alikuwa kasingiziwa tu
 
Youtube zimejaa clips za watu ambao watanyongwa baada ya muda mfupi,huko utapata jibu la swali lako kwa kuwaangalia,hope humu hakuna aliyehukumiwa kifo ili akupe uzoefu wake.
 
Mim8
Kuna jambo limenikumbusha vita ya ghuba(Second Persian Gulf war) ile iliyomuondoa madarakani aliekuwa Raisi wa Iraq, Bwana Saddam Hussein. Nikakumbuka huyu bwana alihukumiwa adhabu ya kifo kwa kunyongwa hadi kufa.

Saddam ni mfano tu wa watu wengi waliouwawa kwa adhabu ya kifo iwe kwa kunyongwa, kuchomwa sindano ya sumu, n.k.

Swali ninalijiuliza, watu hawa wanaosiubiri kutekelezwa kwa adhabu za kifo, huwa wanakuwa na hali gani dakika za mwisho?

Na je, ndugu zao nao huwa na hali gani?

Hakika hii adhabu ni mbaya sana isipokuwa kwa wale wanaoamini wanahukumiwa kufa kwasababu walipigania jambo kwa imani ya misingi ya kidini(wanakuwa na matumaini kuwa wanafia dini yao yaani Mungu) au wale wanaomani wanakwenda kufa kishujaa, tofauti na hapo, ni mateso mabaya sana ya kisaikolojia na sijui kama hujwa wanapata usingizi siku zikikaribia.i
Mimi binafsi yaliwahi kunikuta...kabla ya kunyongwa hadi kufa nilikua nasubiri mechi kati ya Arsenal na Yanga!
 
Kuna jambo limenikumbusha vita ya ghuba(Second Persian Gulf war) ile iliyomuondoa madarakani aliekuwa Raisi wa Iraq, Bwana Saddam Hussein. Nikakumbuka huyu bwana alihukumiwa adhabu ya kifo kwa kunyongwa hadi kufa.

Saddam ni mfano tu wa watu wengi waliouwawa kwa adhabu ya kifo iwe kwa kunyongwa, kuchomwa sindano ya sumu, n.k.

Swali ninalijiuliza, watu hawa wanaosiubiri kutekelezwa kwa adhabu za kifo, huwa wanakuwa na hali gani dakika za mwisho?

Na je, ndugu zao nao huwa na hali gani?

Hakika hii adhabu ni mbaya sana isipokuwa kwa wale wanaoamini wanahukumiwa kufa kwasababu walipigania jambo kwa imani ya misingi ya kidini(wanakuwa na matumaini kuwa wanafia dini yao yaani Mungu) au wale wanaomani wanakwenda kufa kishujaa, tofauti na hapo, ni mateso mabaya sana ya kisaikolojia na sijui kama hujwa wanapata usingizi siku zikikaribia.
Kwa nilivyoshuhudia na kusimuliwa pale ukonga magereza mwaka 1996 wafungwa walihukumiwa kunyongwa huwa hawana amani ila mwisho wa siku wanazoea kuishi kama wafungwa wengine


Ila nilisimuliwa siku ya kunyongwa huwa wako very strong ila mapigo yao ya moyo huwa yako juu sana wanapanda kwenye kidungu sehemu ya kunyongea

Wakati huo askari wa kikosi maalumu wakiwa ndo watu kusimamia zoezi hiloo
Mwisho mfungo husimama kwenye mtego wa kidungo na wanafanyatua .......

Kutokana na ile force ya mtego na kamba shigoni wakishafyatua ule mlango alio kanyaga anavyodondoka ....ile kamba hujifunga kwa nguvu na kuvunja shingo ambayo ndo spinal cord mfumo wa fahamu hivyoo kufanya mfungwa kufa bila maumivu baaada spinal cord kuvunjwa


So ni tukio la kutisha ukiwa unaenda ila inafika kipindi unakubali hali ilivyo
 
America depending on state kuna options kadhaa, electric chair, lethal injection, bullet by firing squad etc, to be honest sijaona hata moja yenye unafuu, zote zinatisha!!
Mbaya ni zile ambazo zinafeli wahusika wanachelewa kufa ndani ya muda ulipangwa, hutokea haswa kqenye lethal injection kama combination ya dawa haijafanya kaz inavyotakikana!
Dooh hivi kumbe hizo zote bado zipo, kuna kipindi nilisikia electric chair na lethal injection zilifutwa kwa sababu zilionekana ni more inhumane kuliko firing squad na hanging, kuna nyingine ya gas chamber na zamani kulikuwa na guillotine sijui kama mpaka miaka hii bado zinakuwa executed
 
Kwa nilivyoshuhudia na kusimuliwa pale ukonga magereza mwaka 1996 wafungwa walihukumiwa kunyongwa huwa hawana amani ila mwisho wa siku wanazoea kuishi kama wafungwa wengine


Ila nilisimuliwa siku ya kunyongwa huwa wako very strong ila mapigo yao ya moyo huwa yako juu sana wanapanda kwenye kidungu sehemu ya kunyongea

Wakati huo askari wa kikosi maalumu wakiwa ndo watu kusimamia zoezi hiloo
Mwisho mfungo husimama kwenye mtego wa kidungo na wanafanyatua .......

Kutokana na ile force ya mtego na kamba shigoni wakishafyatua ule mlango alio kanyaga anavyodondoka ....ile kamba hujifunga kwa nguvu na kuvunja shingo ambayo ndo spinal cord mfumo wa fahamu hivyoo kufanya mfungwa kufa bila maumivu baaada spinal cord kuvunjwa


So ni tukio la kutisha ukiwa unaenda ila inafika kipindi unakubali hali ilivyo
Asante ila bado ni ukatili tu mkuu.
 
Ukienda pale karibu na Mahakama ya Kisutu, kuna Archive, inatunza kumbukumbu nyingi pamoja na kumbukumbu zote za death penalty tangu enzi ya mjerumqni, declassifed documents, though kuingia zengwe tu kama kawaida ya nchi zenye mlengo wa mashariki.

Horrifying stories, hapo kuna stories hata kwa nini wazungu waliamua kukabidhi jukumu la kunyonga kwa waafrika baada ya incident moja ya kutisha kutokea, na ikaripotiwa kwa gavana wa kijerumani
Hiyo incident ilikuwaje, tupeko dokezo kidogo.
 
Usiseme kila binadamu Kuna Mimi hapa sijawahi kuhofia kifo
Ukiniambia hukiogopi kifo nitakubali lakini hofu unayo, narudia tena hakuna binadamu mwenye utimamu wa afya ya akili asiyekuwa na hofu ya kifo.

Simple statement ili unielewe point yangu. “I don’t want to die but I don’t worry about it either”.
 
Back
Top Bottom