MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Mtu mweusi ni lazima umtilie mashaka haswa pale anapojifanya yeye ni mwana wa israel kuliko waisrael wenyewe. Hawa tunawaita ma Pastor na masheikh wengi wao ni wauza unga na watakatisha fedha tuHao wa Dominican in wabaguzi kishenzi,juzi walimweka detention pastor Joshua Mapongo wa Zimbabwe bila sababu
InasikitishaHaiti inaongoza dunia kwa kuwa na maduko ya kuuza uchawi yaani voodoo shops
Sehemu zenye uchawi mwingi maendeleo huwa hamna angalia Ujiji kigoma ,nenda Pangani Tanga nenda Bagamoyo miji ya zamani lakini ukifika mjini kumechoka hatari shida uchawi mwingi hata Pemba kuna matajiri wengi lakini ukiwaambia wawekeze pemba hawakubali.Pemba kuchovu hatari
Hiyo miji ina sifa ya kuwa na uchawi mwingi na watu wa maeneo hayo wanaoishi huko wana midomo ya fitna utafikiri wanapuliza moto
MakakoWaisrael walichomwa na Hitler,ila Leo wapo juu
Acha kuleta vichaka visivyo na maana hapa
Hatutaki kukimbiaWafrika wenyewe tumèshajitambua sisi ni watu wa daraja la mwisho.
Kazi yetu kuomba omba.
Kuomba na kusaidiwa saidiwa ni kitu cha aibu lakini bahati mbaya sisi wafrika hatuoni kinyaa kuomba omba.
Maisha ni mchaka mchaka, Dunia inakimbia lakini sisi wafrika tunatambaa.
Tumejaa ujinga mwingi.
Ni kama tunatembea na kalaana fulani hiviRuto alisema anapeleka jeshi vipi tena
Huko wanaamini uchawi mpaka serikalini
Ni njaa sana na sasa wanakulana
Wamevunja jela na watu kibao wametoroka
Yaani weusi kuna ka laana flani hivi
Halafu fananisha na nchi za afrika achana na hao tabaka lingine
KuHivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini?
Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka mitatu.
Haiti ni moja ya nchi masikini sana duniani iliyojaa ujinga, uchawi na uhalifu uliopindukia.
Lakini South Korea ni miongoni mwa nchi zilizo endelea duniani licha ya kuchelewa kuwa huru ukilinganisha na Haiti.
Haiti lilikuwa taifa la kwanza la watu weusi kupata uhuru duniani lakini hali yake inasikitisha sana.
Maisha ya wa HaitiView attachment 2925906View attachment 2925907View attachment 2925908View attachment 2925910
Uchumi wa Haiti
GDP (nominal) $8 Bln
GDP (PPP) $19 Bln
GDP per Capita(nominal) $700
GDP per Capita(PPP )$1,700
GDP rank
145th (nominal)
143rd (PPP)
GDP per capita rank
172nd (nominal)
174th (PPP)
Maisha ya wa Korea kusini
View attachment 2925924View attachment 2925925View attachment 2925926View attachment 2925927View attachment 2925923
Uchumi wa South Korea
GDP(nominal)$1.7 trillion
GDP(PPP) $2.9 trillion
GDP per capita(nominal)$33,147
GDP per capita(PPP)$56,709
GDP rank
13th (nominal)
14th (PPP)
GDP per capita rank
31rd (nominal)
29th (PPP)
Hivi sisi tuna matatizo sehemu yoyote ile duniani hata tukiwa nje ya Afrika ? Maana huyo mwenzetu kapata uhuru toka miaka ya 1700s kazidiwa mbali kabisa na huyo South Korea wa baada ya vita vya pili vya dunia hapo juzi tu miaka ya 1948 pamoja ya kwamba alikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tena miaka ya 1950-1953.
Wazungu wameweza kuleta maendeleo hata nje ya ulaya, wachina nao wameweza.
wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k
Wachina wameweza kuibadili kabisa Singapore.
ila watu weusi Haiti anatuaibisha licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 200 iliyopita.
HIVI SISI TUNA MATATIZO GANI ?
Kuna jambo kama taifa walilipuuzia na sasa linawagharimu, lilishawagharimu na litaendelea kuwagharimu sana tu.Hivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini?
Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka mitatu.
Haiti ni moja ya nchi masikini sana duniani iliyojaa ujinga, uchawi na uhalifu uliopindukia.
Lakini South Korea ni miongoni mwa nchi zilizo endelea duniani licha ya kuchelewa kuwa huru ukilinganisha na Haiti.
Haiti lilikuwa taifa la kwanza la watu weusi kupata uhuru duniani lakini hali yake inasikitisha sana.
Maisha ya wa HaitiView attachment 2925906View attachment 2925907View attachment 2925908View attachment 2925910
Uchumi wa Haiti
GDP (nominal) $8 Bln
GDP (PPP) $19 Bln
GDP per Capita(nominal) $700
GDP per Capita(PPP )$1,700
GDP rank
145th (nominal)
143rd (PPP)
GDP per capita rank
172nd (nominal)
174th (PPP)
Maisha ya wa Korea kusini
View attachment 2925924View attachment 2925925View attachment 2925926View attachment 2925927View attachment 2925923
Uchumi wa South Korea
GDP(nominal)$1.7 trillion
GDP(PPP) $2.9 trillion
GDP per capita(nominal)$33,147
GDP per capita(PPP)$56,709
GDP rank
13th (nominal)
14th (PPP)
GDP per capita rank
31rd (nominal)
29th (PPP)
Hivi sisi tuna matatizo sehemu yoyote ile duniani hata tukiwa nje ya Afrika ? Maana huyo mwenzetu kapata uhuru toka miaka ya 1700s kazidiwa mbali kabisa na huyo South Korea wa baada ya vita vya pili vya dunia hapo juzi tu miaka ya 1948 pamoja ya kwamba alikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tena miaka ya 1950-1953.
Wazungu wameweza kuleta maendeleo hata nje ya ulaya, wachina nao wameweza.
wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k
Wachina wameweza kuibadili kabisa Singapore.
ila watu weusi Haiti anatuaibisha licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 200 iliyopita.
HIVI SISI TUNA MATATIZO GANI ?
Kama hujawahi ishi marekan hata kidogo ni rahisi sana kuwalaumu wameran weusiUnataka kusema nini ?
Lakini Korea Kaskazini huwezi kuifananisha na nchi yoyote Afrika licha ya rundo la vikwazo ilivyonavyo na siku ikiachwa huru itatoka na speed ya rocket kuwafukuzia wenzaoSoma kitabu Cha Why Nations Fail
Mule kila kitu unachojadili kimeelezwa
We hushangai kwanini Korea Kusini imeizid maendeleo na Korea Kaskizini?
Korea zote asili yake ni Moja na kabla ya 1940s zote zilikuwa ni nchi Moja?
Inashangaza
Haiti na nchi nyingi sana za carribean marekani aliziharibu sana miaka ya 1880's mwishoni enzi za banana republicKu
Kuna jambo kama taifa walilipuuzia na sasa linawagharimu, lilishawagharimu na litaendelea kuwagharimu sana tu.
"ULINZI"
Walidharau na kuona kuwa hawana haja ya kuwa na jeshi(military), wakaunda kakikundi ka Polisi kwa ajili ya ulinzi wa viongozi na kushughulikia uhalifu mdogo mdogo!
Hawakujifunza kwa wenzao wa Grenada walivyofanyiwa na Marekani enzi zile miaka ya '82, kuvamiwa na hatimaye kiongozi wao kuuawa kama kuku na mamluki!
Hii siyo mara ya kwanza kuibuka genge la wahuni na kufanya wanayoyafanya bila ya pingamizi lolote.
Nchi bila ya kuwa na jeshi imara haiwezi kuheshimika hata siku1!
Changamoto kwa kweliWa2 weuc 2na utoto unaoitwa utengano na ndo zimwi inayoendelea kututafuna miaka na miaka.... Tumejaa lawama, ubinasi, chuki ujinga mtupu
Matatizo ya Haiti sio ulinzi tu hata ufukara wa kutishaKu
Kuna jambo kama taifa walilipuuzia na sasa linawagharimu, lilishawagharimu na litaendelea kuwagharimu sana tu.
"ULINZI"
Walidharau na kuona kuwa hawana haja ya kuwa na jeshi(military), wakaunda kakikundi ka Polisi kwa ajili ya ulinzi wa viongozi na kushughulikia uhalifu mdogo mdogo!
Hawakujifunza kwa wenzao wa Grenada walivyofanyiwa na Marekani enzi zile miaka ya '82, kuvamiwa na hatimaye kiongozi wao kuuawa kama kuku na mamluki!
Hii siyo mara ya kwanza kuibuka genge la wahuni na kufanya wanayoyafanya bila ya pingamizi lolote.
Nchi bila ya kuwa na jeshi imara haiwezi kuheshimika hata siku1!
"If you look at their mode of life and their lifestyle in general you can observe that BLACKS are born with the situation like an half-mad mentality and mindsets."Hivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini?
Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka mitatu.
Haiti ni moja ya nchi masikini sana duniani iliyojaa ujinga, uchawi na uhalifu uliopindukia.
Lakini South Korea ni miongoni mwa nchi zilizo endelea duniani licha ya kuchelewa kuwa huru ukilinganisha na Haiti.
Haiti lilikuwa taifa la kwanza la watu weusi kupata uhuru duniani lakini hali yake inasikitisha sana.
Maisha ya wa HaitiView attachment 2925906View attachment 2925907View attachment 2925908View attachment 2925910
Uchumi wa Haiti
GDP (nominal) $8 Bln
GDP (PPP) $19 Bln
GDP per Capita(nominal) $700
GDP per Capita(PPP )$1,700
GDP rank
145th (nominal)
143rd (PPP)
GDP per capita rank
172nd (nominal)
174th (PPP)
Maisha ya wa Korea kusini
View attachment 2925924View attachment 2925925View attachment 2925926View attachment 2925927View attachment 2925923
Uchumi wa South Korea
GDP(nominal)$1.7 trillion
GDP(PPP) $2.9 trillion
GDP per capita(nominal)$33,147
GDP per capita(PPP)$56,709
GDP rank
13th (nominal)
14th (PPP)
GDP per capita rank
31rd (nominal)
29th (PPP)
Hivi sisi tuna matatizo sehemu yoyote ile duniani hata tukiwa nje ya Afrika ? Maana huyo mwenzetu kapata uhuru toka miaka ya 1700s kazidiwa mbali kabisa na huyo South Korea wa baada ya vita vya pili vya dunia hapo juzi tu miaka ya 1948 pamoja ya kwamba alikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tena miaka ya 1950-1953.
Wazungu wameweza kuleta maendeleo hata nje ya ulaya, wachina nao wameweza.
wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k
Wachina wameweza kuibadili kabisa Singapore.
ila watu weusi Haiti anatuaibisha licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 200 iliyopita.
HIVI SISI TUNA MATATIZO GANI ?
Kinajadiliwa kile kilicho andikwaMnajadili nini?
Mtu mweusi?
Nchi ya Haiti?
Uchumi wa Korea vs Haiti?
Asia vs Africa?
au mnasambaza chuki?
Aisee hebu JamiiCheck mpite humu.
Unawakandamiza kwenye nini ?Kama hujawahi ishi marekan hata kidogo ni rahisi sana kuwalaumu wameran weusi
Wamarekan weusi wanamapungufu yao ila mfumo wa uliwakandamiza na unaendelea kuwakandamiza
Inafikirisha"If you look at their mode of life and their lifestyle in general you can observe that BLACKS are born with the situation like an half-mad mentality and mindsets."
Jan Smuts, the First Prime Minister of Union of South Africa
Tena kama Hilo Nigeria ndo taira kbs yeye ni miongon mwa wenye hifadhi kubwa za mafuta Duniani na mfichaji mkubwa ety anaagizaπ₯ΆKwenye hii list hapa umeelewa nini? ππ
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1765064536107966708?t=c9vGNU44VkFBpqV6OjSJMA&s=19π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππππ
Asia angalau wana akili ,sio huku yaani hatujipend miji yetu 90% ya hovyo .Unaweza washinda watu wa Asia kuzaa?
Mkuu unapotoshaKuna kifungu katika biblia kina sema watoto wa Nuhu walimchungulia baba yao wakati amelewa , mmoja akaanza kumcheka wawili wakaenda kumfunika, Kisha Nuhu alipopata ufahamu akatoa laana kwa huyu mtoto aliyekuwa anamcheka, ambaye Sasa inaoneka ni mtu mweusi kwamba atakuwa mtumwa wa wenzie. Kwa ujinga huu wa watu weusi inabidi tukubali tu maandishi ya kwenye bible.