Wana JF,
Wananchi..
Hili ni swali...
Hebu tusaidiane hapa kujua kiunaga ubaga, hawa wauza mafuta Tanzania ni akina nani..
Yani wale wa jumla, na wa rejareja (hizi petrol stations)
Nalenga hasa kupata wenye hisa/ au wamiliki, na marafiki zao...
Naomba tusaidiane tujue kwa sababu, si kosa kujua hela zetu zinaelekea wapi...
Halafu na hawa EWURA, haya mafuta yanayouzwa kwanzia kesho, tarehe 04 May 2022, si yaliagizwa miezi mitatu iliyopita. Hata vita ya Ukreini haijaanza. Sasa Hilo soko la dunia limeathiri vipi?
Hebu
Tuyataje haya ma "sheli" na wamiliki, au marafiki wa wamiliki. Huko ndiko hela zetu zinakopelekwa....tutake tusitake!
Wananchi..
Hili ni swali...
Hebu tusaidiane hapa kujua kiunaga ubaga, hawa wauza mafuta Tanzania ni akina nani..
Yani wale wa jumla, na wa rejareja (hizi petrol stations)
Nalenga hasa kupata wenye hisa/ au wamiliki, na marafiki zao...
Naomba tusaidiane tujue kwa sababu, si kosa kujua hela zetu zinaelekea wapi...
Halafu na hawa EWURA, haya mafuta yanayouzwa kwanzia kesho, tarehe 04 May 2022, si yaliagizwa miezi mitatu iliyopita. Hata vita ya Ukreini haijaanza. Sasa Hilo soko la dunia limeathiri vipi?
Hebu
Tuyataje haya ma "sheli" na wamiliki, au marafiki wa wamiliki. Huko ndiko hela zetu zinakopelekwa....tutake tusitake!