Hivi wauzaji wanaoongea na simu wakati mteja unasubiri huduma ndo wamiliki wa biashara au nao ni waajiriwa?

Hakuna Cha ufalme shida yako ndo imekupeleka pale. Hata hivo maamuzi ulo chukua ni sahihi kabisa. Hupaswi kulalamika wakati ulikua na option ya kwenda kupata huduma kwingine.
 
Hakuna Cha ufalme shida yako ndo imekupeleka pale. Hata hivo maamuzi ulo chukua ni sahihi kabisa. Hupaswi kulalamika wakati ulikua na option ya kwenda kupata huduma kwingine.
mimi kwangu mteja sio mfalme.

siwez kuacha kuongea na simu kisa mteja anahitaji huduma.kwani akieleza nini anataka kweny huduma yangu siwez kumuelewa?

tatizo lililopo ni ni ujinga tu wa watu baadhi kushindwa kuelewa nini maana ya busara.
 
True. na hapo ndo wengi wanapofeli wanafikiri akiondoka mteja mmoja atafidiwa na mteja mwingine mpya. kila mteja ana nafasi yake.
biashara ni ujanja tu ukisusa wenzio wananunua
 
Hakuna Cha ufalme shida yako ndo imekupeleka pale. Hata hivo maamuzi ulo chukua ni sahihi kabisa. Hupaswi kulalamika wakati ulikua na option ya kwenda kupata huduma kwingine.
Nataka nikufundishe kitu, hapa naona hujaongea kwa kufikilia ila UMEROPOKA.( samahani kwa maneno makali but you deserve it!.
Msemo/Kauli ya mteja ni mfalme hutumiwa na wafanyabiashara wakimaanisha kuwa mteja ndio mtu ambae anaifanya biashara yako ikupe faida hivyo kumfanya aridhike na huduma yako au bidhaa is something you can't escape if you’re serious with your business.
Sasa kanunua mzigo kaweka dukani auze apate faida alafu mteja anamtreat in a way that sounds like "Kama unataka nunua kama hutaki nenda sehemu nyingine " ukitreat wateja kumi hivyo wote wakawa wanakukwepa means umepoteza mauzo ambayo ungeyapata kwa kuwa treat like kings which doesn't cost you anything.
It's simple to please people just make them feel important, kwisha.
 
Sometimes wateja wana visirani vyao tu, ukiwa kama mtoa huduma huwezi kua perfect na kuhudumia kwa usawa wateja wote.
Wateja wengine mizinguo tu.
Hapana it comes with training, train yourself as companies train their customer care.
Piga simu Yas, Airtel, vodacom, tanesco, au Taasisi yoyote waambie upuuzi wowote au visilani vyako uone kama watakujibu vibaya!

Huu ni upuuzi hakuna ex excuses huu ni upuuzi
 
mimi kwangu mteja sio mfalme.

siwez kuacha kuongea na simu kisa mteja anahitaji huduma.kwani akieleza nini anataka kweny huduma yangu siwez kumuelewa?

tatizo lililopo ni ni ujinga tu wa watu baadhi kushindwa kuelewa nini maana ya busara.
Wewe umeona hiyo ni busara, nimekuja unaongea na simu kata, hudumia mteja!
Heshimu kazi yako, heshimu wateja.
 
Watu hawajielewi aisee.....

Yaani mpaka unabaki mdomo wazi....

Yale machanjo ya corona huenda yamewafanya watu kuwa misukule .... huwa nastaajabu sana.
 
Kuna wateja wanaweka order zao kwa kutumia simu alafu unataka akatiwe usikilizwe wewe na umemkuta…
 
Point ya msingi
 
Hizi zote ni excuses.
Na nimegundua elimu yako ni ndogo sana!
 
Yaani uje kipuuzi halafu utegemee nikupe sijui customer care ya Yas sijui voda huko??
Mkuu labda kama hujawahi kufanya biashara na kashkash za wateja huzijui.
Wengine ni majaribu tu, hata hao wa mitandao ni vile hawawaoni hao customers ila kingekua kinawaka, na mbona hata wao wakiona hueleweki wanakata simu.

Ukiwaendekeza wanakupanda kichwani na kukutangazia mbovu kwa wengine, mpe makavu kesho harudii.
Kaja dukani kwako kwakua nae ana shida na mnasaidiana.
Na yeye mteja afate taratibu ulizojiwekea dukani kwako, sio kwakujifanya yeye ni mfalme basi atake umtreat vile anataka yeye hata kama ni nje ya utaratibu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…