Wakati mwingine nyie mnao jifanya mpogo sahihi ni wajinga, vitu vingine unahitaji busara ya kawaida Sana ya Nini ku complect mambo kiasi hiko.?
Huyo unae mtuhumu ana ndugu ana ana marafiki na ana hisia. Pengine unakuta unae mtuhumu kapigiwa na shangazi, dada, mama, kaka na hata rafiki pengine kapigiwa smu mda ambao alikua free, inakua ningumu mtu kumkatia simu ghafla lazima umtegee Kisha um- please sio ghafla kiasi hicho kaka.
Unapo kua na angalau na punje ya busara na hekima jaribu kuangalia hisia za mwenzako sio kila kitu kulalamika tu kama Janamke.
Mfano leo kuna mzee mmoja namfahamu hanaga mishe yeye nikama mji wake mke wake ndo mtafutaji, yeye kawa wale wazee wa mitaani (balozi) sasa Leo saa 3 asubuhi nikamkuta mtaani mie nilikua kwenye harakat zangu bahati mbaya nikawa nimemskia anasema. "Huyu wa saluni hajafungua mpaka saiv ana hela Sana, watu wengine biashara hawazijui wanadhani biashara nizao kumbe niza wananchi bila sisi biashara hazipo".
Nikasema hili lizee kazi kulalamika lenyewe biashara yake iko wapi.? Au hajui Kama kina dharula, yule mzee na wewe mtoa post ni wale wale.