Hivi wazazi na walezi mnawezaje kuishi watoto viburi majumbani kwenu?

Hivi wazazi na walezi mnawezaje kuishi watoto viburi majumbani kwenu?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Mimi ni mtoto wa pili katika familia ya watoto 8 nina miaka 27, bado naishi nyumba ya kifamilia bado mambo bila bila (maisha magumu kuhama) nimepoteza mzazi wa kike na wakiume anaishi mbali kidogo na sisi ila tunashukuru hajakataa uzazi wake.

Kama mnavyojua katika familia lazima baadh ya muda kuwe na kutoelewana hasa mkiwa mmezaliana kwa mtindo wa ngazi au kaka(dada) huna pesa hapa utajuta hivyo utadharaulike hata na paka mnaofuga shabash!!kuna mdogo wangu wa kike kawahi kuzaa aisee.

Kiburi na jeuri kata mkono licha ya kumfanyia wema wapi kuna siku kidogo nimpige ila nikaona sio poa,kama mdomo wake ni mchafu sio kwangu ni hata kwa majirani. Hebu naomba tuambiane mnawezaje kuishi katika hali hii?
 
nitazingatia ila upo age ya 21 mda mwengne naona lbd ni utoto ila sion akiacha.
Acha kujibizana na watoto wa kike.

Huyo ujeuri wake kazaliwa nao upo kwenye damu, hamna kitu unaweza kufanya ukambadilisha, watu wa aina hiyo huwa tunaachia ulimwengu utende yake.

Mind your business. Na inawezekana anakudharau kwasababu upo juu ya mawe.

Heshima inanunuliwa buda😂 Tafuta pesa uwe msemaji wa familia😂
 
Ndugu wa kike kama kashaanza kutembea na watu wazima temana nae ...Atakuja kupata akili akiwa miaka 35 na kuendelea .


Ukiona dogo kashaanza jeuri basi kshaanza kutongozwa na watu zaidi yako au wana uwezo kukuzidi...Palikuwa na dogo wa shangazi nilikapigania kipind cha shule ya msingi maana tulisoma shule moja na nilimpita madarasa mawili ,nilikuwa nampa hela kma hana sometimes namtetea akitaka kubondwa na wengi walikuwa wanajua ni ndugu yangu damu hata kumgusa wanamuogopa.

Kalipomaliza form four kalienda kusomea unesi basi alianza dharau maana alikuwa anataka kuolewa na jamaa fulani ana mpunga alikuwa kaajiriwa basi alikuwa na ujinga sana na dharau .
 
Acha kujibizana na watoto wa kike.

Huyo ujeuri wake kazaliwa nao upo kwenye damu, hamna kitu unaweza kufanya ukambadilisha, watu wa aina hiyo huwa tunaachia ulimwengu utende yake.

Mind your business.

Na inawezekana anakudharau kwasababu upo juu ya mawe.

Heshima inanunuliwa buda😂
Tafuta pesa uwe msemaji wa familia😂
i keep hard work
 
Ndugu wa kike kama kashaanza kutembea na watu wazima temana nae ...Atakuja kupata akili akiwa miaka 35 na kuendelea .


Ukiona dogo kashaanza jeuri basi kshaanza kutongozwa na watu zaidi yako au wana uwezo kukuzidi...Palikuwa na dogo wa shangazi nilikapigania kipind cha shule ya msingi maana tulisoma shule moja na nilimpita madarasa mawili ,nilikuwa nampa hela kma hana sometimes namtetea akitaka kubondwa na wengi walikuwa wanajua ni ndugu yangu damu hata kumgusa wanamuogopa.

Kalipomaliza form four kalienda kusomea unesi basi alianza dharau maana alikuwa anataka kuolewa na jamaa fulani ana mpunga alikuwa kaajiriwa basi alikuwa na ujinga sana na dharau .
shukran pia pole
 
kuna mdogo wangu wa kike kawahi kuzaa aisee!kiburi na jeuri kata mkono licha ya kumfanyia wema wapi kuna siku kidogo nimpige ila nikaona sio poa,kama mdomo wake ni mchafu sio kwangu ni hata kwa majirani..hebu naomba tuambiane mnawezaje kuishi katika hali hii?
Nileetee Mimi nimuongezee mtoto mwingine Wenda kichwa chake kitamkaa sawa hapo bado anataka kushusha injini nyingine, kwa hio bwashem nisogezee namba zake PM nijaribu kumsabahi nitakua nimekusaidia pakubwa sana hususani suala zima la Maokoto
 
Back
Top Bottom