Hamna aliye mnenea mabaya hapausimnene maneno mabaya mtoto wa mwenzio,Sio vizuri
kusema "ana kila dalili za kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu" hayo ni maneno mazuri?!?!?! imagine mtoto wako anatamkiwa maneno kama hayo
Wakati mwingine tujaribu kuzungumza ukweli na kuweka unafiki pembenikusema "ana kila dalili za kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu" hayo ni maneno mazuri?!?!?! imagine mtoto wako anatamkiwa maneno kama hayo
sawa boss,lakini pia inatubidi kuchuja maneno ya kuongea juu ya watoto,sababu maneno huumba.Wakati mwingine tujaribu kuzungumza ukweli na kuweka unafiki pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu ni mswahili ndoo maana unamsema Hivyo. Ila ingekuwa ni mzungu hizo sifa ungempa aisee sipati picha. Jua Huanza kuonekana asbhHabari zenu ndugu wana jf ni matumaini mko vyema !
Niende moja kwa moja kwenye mada ,Nimetokea kufuatilia clip za youtube za maigizo ya huyu mtoto Mai ni mtoto mdogo sana ambae hajajitambua lakini namna wanavyo mu expose kwenye social media sidhani kama ni sahihi sana naona ni kama kumnyima haki ya utoto wake ,mtoto hana budi kulelewa kama mtoto mpaka pale atakapo jitambua .
Huyu mtoto anakila dalili ya kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu ,sitashangaa kama atakuja kuwa na tabia kama za akina wema hapo mbeleni.
Nawasilisha.
View attachment 1051555
Sent using Jamii Forums mobile app
Never hide the talent of ur kid kwa kisingizio cha maadili.....dogo ana kipaji wacha wazazi wampe sapoti yote ili kesho akiwa star mkubwa wa filamu kama Lupita nchi ipate cha kujivunia mana diamond tumempiga majungu hadi kijana wa watu kakata tamaa.....by the way acha kumtia laana mtoto wa watu eti ataharibiwa WTF...ushindwe kwa jina la LipumbaHabari zenu ndugu wana jf ni matumaini mko vyema !
Niende moja kwa moja kwenye mada ,Nimetokea kufuatilia clip za youtube za maigizo ya huyu mtoto Mai ni mtoto mdogo sana ambae hajajitambua lakini namna wanavyo mu expose kwenye social media sidhani kama ni sahihi sana naona ni kama kumnyima haki ya utoto wake ,mtoto hana budi kulelewa kama mtoto mpaka pale atakapo jitambua .
Huyu mtoto anakila dalili ya kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu ,sitashangaa kama atakuja kuwa na tabia kama za akina wema hapo mbeleni.
Nawasilisha.
View attachment 1051555
Sent using Jamii Forums mobile app
usimnene maneno mabaya mtoto wa mwenzio,Sio vizuri
Mkuu kwenye somo la kiswahili kuna zile alama za funga semi na fungua semi naona umezisahau kwenye story yako (kutoka kwa Dr. From ubeberu country)Habari zenu ndugu wana jf ni matumaini mko vyema !
Niende moja kwa moja kwenye mada ,Nimetokea kufuatilia clip za youtube za maigizo ya huyu mtoto Mai ni mtoto mdogo sana ambae hajajitambua lakini namna wanavyo mu expose kwenye social media sidhani kama ni sahihi sana naona ni kama kumnyima haki ya utoto wake ,mtoto hana budi kulelewa kama mtoto mpaka pale atakapo jitambua .
Huyu mtoto anakila dalili ya kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu ,sitashangaa kama atakuja kuwa na tabia kama za akina wema hapo mbeleni.
Nawasilisha.
View attachment 1051555
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona umeniqoute mm mkuu!!?Hapana nadhan amechanganya madawa....Lulu ndo aliyealibikiwa Tangu utotoni mwakw mana Wadau walianza kulila embe bichi kwa chumvi.
Bora na wewe useme ,wengine tunaonekana tuna roho mbaya hapaMtoto anaongea maneno Makubwa hajawahi kunivutia kiukweli
Atakuja kuwa kama LuluKwani wema alipinda kwa kuanza kuigiza utotoni?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk