R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,178
Nyumba unakuta ina baba lakini cha ajabu wanamlipa polisi eti aende kutoa hukumu
Nachojua suala la kutoa displini huwa linafaa zaidi mzazi ndio ashughulikie tena iwe kwa lengo la kumfunda mtoto na si kumuumiza.
kwa maana hii ni kwamba ukimkodi mtu akuchapie mtoto wako, impact huwa ni ndogo.
Hawa wazazi huwa wana lengo lipi ?
Nachojua suala la kutoa displini huwa linafaa zaidi mzazi ndio ashughulikie tena iwe kwa lengo la kumfunda mtoto na si kumuumiza.
kwa maana hii ni kwamba ukimkodi mtu akuchapie mtoto wako, impact huwa ni ndogo.
Hawa wazazi huwa wana lengo lipi ?